Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hii ni kweli???Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli???Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Uongo ukweli?Siyo kujipa matumaini. M23 wanaliwa nyashi tena.
Soma comment hapo juu ni GemuHii ni kweli???
1.Mbona video Kam ya AI?Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hio video ya ndege inashambulia kama watu ni game linaitwa Arma 3, hio video nyingine ya hao askari wana search maiti ni askari wa M23 waliouawawa baada ya kupigwa ambush na askari wa Congo.Hii ni kweli???
Hao ndugu zako M23 wanawafahamu vyema JW, na hawachezi nao... Balaa la JW si dogo ukanda wa Afrika mashariki na katiKagame kawapa mafunzo vijana m23 kwa muda mchache na wameiva kiasi cha kupambana na Tanzania,South Africa na Malawi.Kagame ni kichwa atawaumiza huyu,embu mwacheni tu.
Yaani unadanganywa kirahisi hivyo...😳😳Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Ni game hilo acha ujinga.Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Ndio nini kutuwekea video game mwehu wewe..........yaani kweli kabisaaKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Duuuh mbona unaakili ndogo hivyo hao Ni wanajeshi wa Congo na washirika wake wanaporwa silaha baada ya kuuwawa...Baada ya show!!
Na hii itakua game gani?
KAZI ni kipimo cha UTU
Ushayaona yaliyotokea Gaza😭😭😭😭😭😭😭😭Nchi tatu zinashindwa na kikosi cha wanamgambo?
Hii si aibu?
haha jk ndio aliweza kuwafanyizia kagame hawezi kumsahau maisha yake yote alipewa kichapo cha mbwa mwizi, kudeal na kagame unatakiwa uwe muhuni kwa sababu yeye anajifanya hamnazoKwaa hio wanalinda amani wanauliwa tu wenyewe hawajibu kitu yaan wao wameenda kufa kwa kigezo cha kulinda amani unauliwa haujibu mapigo kisa unalinda amani? Hahaha
Hii vid clip nimeikubali, ni tukio la kweli sio AI.Sorry napenda kutanguliza maelezo hii video nitakayo weka hapa ni ya kutisha na kuogopesha ni baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kisha kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hii ni video game au ukweli?Kagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Jamaa m23 wako vizuri akuna wa kuwazuia kwenye war scale.Hao ndugu zako M23 wanawafahamu vyema JW, na hawachezi nao... Balaa la JW si dogo ukanda wa Afrika mashariki na kati
Hii siyo ya kweli,ni video gameKagame anaua vijana wake ni hatari jeshi la south Africa limeua kama sisimizi vijana wa m23. Naweka video yake hapa chini.
KAZI ni kipimo cha UTU
Unaufahamu wa RULES OF ENGAGEMENT katika kulinda Amani na kupigana vita!?? ....Nchi tatu zinashindwa na kikosi cha wanamgambo?
Hii si aibu?