Mkuu wa Majeshi Afrika Kusini amjibu Rais Kagame

Mkuu wa Majeshi Afrika Kusini amjibu Rais Kagame

Naogopa kuweka voice note ya bodigadi wa mkuu wa operation hii ambayo alimtumia mjeshi w Tanzania kabla ya show hii na baada ya show. Kua kunamtego wametegewa m23 wakijaa cha moto watakiona na kweli wamejaa. Uyo bodi gadi alisoma kozi moja na jamaa wa Tanganyika.hv sasa anamlinda miongoni wa wakuu wa operation wametokea kinshasha maalumu. Anasema tusitume voice note wanaweza kumjua yy.
Kuna mtego mwingine anasema atasema mda ukifika ila anasema nchi kwa nchi inaweza moja ikapepea bendera.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mbona hii ni A10 wathdog attack plane, ya USA sidhani kama SA wana aina hii ya mult role attack aircraft.. hii itakua sio DRC mkuu check with your source
Sauzi wanayo iyo!! Sema jamaa anakataa tu si toe voice note zake wanaweza kumjua kupia voice. Alimtumia mjeshi w Tanganyika waliwai kusoma kozi moja.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Nchi tatu zinashindwa na kikosi cha wanamgambo?

Hii si aibu?
Hapana, kule DRC Tanzania, Malawi, Kenya na South wamepeleka Battalion Moja Moja Tena azijakamilika ki muundo wa kivita.
Ata Silaha zinakua ndogo ndogo Yale M( heavy weapons) Mwana ukome hayaja pelekwa.
Wale M 23 wanasaidiwa na Rwanda kwa full scale ya kivita ndio maana Wana sumbua.
Ingawa Rwanda ana Settelite yake ya ulinzi na Vifaa vya kisasa kabisa anavyo wasaidia M 23 katika uwanja wa medani Bado anapoteza askari wengi wa ki nyarwanda.

Kama Izo Nchi zita ingia Congo na full mziki , ni Swala la Mwezi mmoja Kagame atakua amesha kimbia maana atapigwa kutokea pande zote Nne za Nchi ya Rwanda na hatoweza kustahimili.

Zita shuka chopa za kivita na Ndege Vita za kisasa, Ma drone kwa wakati mmoja Hawatoweza kustahimili.

Kwasasa M 23 wanashambuliwa kwa MOTA, Tank na BM tu, mizinga ya Masafa marefu mipya ya kisasa haija Anza kazi.
 
Sorry napenda kutanguliza maelezo hii video nitakayo weka hapa ni ya kutisha na kuogopesha ni baada ya ndege vita kufanya yake kwa m23. Kisha kikosi cha nchi kavu kikaenda kuakiki maiti vitani.
KAZI ni kipimo cha UTU
Duuuh
 
Back
Top Bottom