kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 277
Nimekuwa nikisumbuliwa muda mrefu na swali hili Hivi huyu mkuu wa majeshi ya ulizi tanzania Aden Mwamunyange si alikuwa JKT?
Ssa swali langu ni kwamba ilikuwaje achaguliwe kuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi tanzania na kwanini siku moja mkuu wa majeshi ya ulinzi tanzania asitoke jeshi la polisi au magereza?
Na tunaposema mkuu wa majeshi tunamaana kwamba ni mkuu wa majeshi yote yaani mgambo,magereza,polisi,JKT,JWTZ,TAKUKURU n,k.pia kuna tofauti gani kati ya Amirijeshi mkuu na mkuu wa majeshi?
Yaani mambo haya yananichanganya sana hasa hilo la mkuu wa majeshi ina maana rais anashauriwa kuteua mtu yeyote yule? Au ni lazima atoke JWTZ na JKT? Au hata jeshi la polisi, magereza, uhamiaji, KMKM nayo yana uwezo wa kutoa mkuu wa majeshi?
Na ukiangalia ndani ya gari la uhuru utakuta kuna Rais na mkuu wa majeshi tu yaani watu 2 tu kwanini asiongezeke IGP, Mkuu wa magereza,usalama wa taifa n,k!jamani naomba majibu kwa mada hii kwa yeyote anayefahamu maana maswali hayo najiuliza huu mwaka wa 6 sasa bado sijapata jibu labda hapa jamvini mnaweza kunisaidia swali hili!
Ssa swali langu ni kwamba ilikuwaje achaguliwe kuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi tanzania na kwanini siku moja mkuu wa majeshi ya ulinzi tanzania asitoke jeshi la polisi au magereza?
Na tunaposema mkuu wa majeshi tunamaana kwamba ni mkuu wa majeshi yote yaani mgambo,magereza,polisi,JKT,JWTZ,TAKUKURU n,k.pia kuna tofauti gani kati ya Amirijeshi mkuu na mkuu wa majeshi?
Yaani mambo haya yananichanganya sana hasa hilo la mkuu wa majeshi ina maana rais anashauriwa kuteua mtu yeyote yule? Au ni lazima atoke JWTZ na JKT? Au hata jeshi la polisi, magereza, uhamiaji, KMKM nayo yana uwezo wa kutoa mkuu wa majeshi?
Na ukiangalia ndani ya gari la uhuru utakuta kuna Rais na mkuu wa majeshi tu yaani watu 2 tu kwanini asiongezeke IGP, Mkuu wa magereza,usalama wa taifa n,k!jamani naomba majibu kwa mada hii kwa yeyote anayefahamu maana maswali hayo najiuliza huu mwaka wa 6 sasa bado sijapata jibu labda hapa jamvini mnaweza kunisaidia swali hili!