Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maoni yako vita ya Kagera imechochea maendeleo au umaskini?Hamkosekana watu kama nyie! Ingekuwa ajabu sana.
Haya nijibu swali langu.Acha uongo umasikini wa Tanzania ni tatizo linalotokana na mabadiliko ya mfumo kutoka Ujamaa kwenda ubepari,na ulifanyika makusudi na USA ili kuzididimiza nchi zilizokuwa zinafuta Sera za ujamaa.
Marahaba Mkuu, Hawa watatu wapewe maua yao + Mti mkavuShikamoo Mkuu.
Alimpeleka Mwanae kucheza karate China, amekomaa huyo mpaka machoMEJA GEN SAYORE acha kabisa
Nakumbuka kipindi nasoma jitegemee mjukuu wake alichapwa fimbo bahati mbaya alivimba sana kwenye matrako
Dogo ikabidi arudi home kifuatacho dogo akarudi na mzee ilikuwa kizaazaa enzi hizo Headmaster alikuwa Fabian Massawe aisee Massawe alikuwa mpole sana hadi huruma order ikatoka dogo asichapwe fimbo wala nini alafu toto lenyewe lilikuwa jeuri kinoma
Sema ndio hvyo mtoto wa mkuu wajeda wote wakawa wanahanya kwa dogo 😁
View: https://youtu.be/dfjlCKxdWWs?si=f317_cKK1Klk_xtx
Jenerali Musuguri amefariki usiku wa kuamkia leo
Huyohuyo hakunaga Musuguri mwingine Mjeda kama huyuLet him Rest well.
Ni huyu wa mbezi kwa Musuguli au ni mwingine ?
Kwa hivyo umekusudia kusema nini?Huyu ndio mwanajeshi sio mwanajeshi anapulizwa na AC akitoka anapanda Prado,enzi ya mwalimu jeshi ni jeshi kweli
Yule mzee alikuwa kauzu sanaAlimpeleka Mwanae kucheza karate China, amekomaa huyo mpaka macho
Anasema hataki Mwanaume mlaini kwake
Si ameshasema!?Kwa hivyo umekusudia kusema nini?
Na wewe Mkuu Manyerere Jackton si unakaribia umri wa musuguri(Rip) maana nimekusoma tangu ningali mdogo kabisa, au mpo wengi?Ninyi wahariri vipi? Naandika Jenerali ninyi mnabadili mnaandika Brigedia Jenerali. Sahihisheni
kwetu hapoNdo yule kwa ‘Msuguri’
Mbezi kwa Msuguri??
Rest in Peace 🙏🏾
Kama alikuwa Mkuu wa Majeshi 1980 had 1988, inakuwaje yeye aliongoza vita vya Kagera vya 1979?Alikuwa Mkuu wa Majeshi ya Tanzania kuanzia mwaka 1980 hadi mwaka 1988, Jenerali David Bugozi Msuguri.
Musuguri ambaye asili yake ni Musoma mkoani Mara, ndiye aliyeongoza majeshi ya Tanzania kumfurusha Nduli Iddi Amin Dada wa Uganda mwaka 1978 baada ya kuvamia eneo la Kyaka mkoani Kagera na kulitangaza kuwa ni miliki ya Uganda.
Mkuu hakika- ila ungemuona ungeona bado uaskari ndani yake104 yrs jamaa kaexprience mambo mengi sana.
AiseMkuu hakika- ila ungemuona ungeona bado uaskari ndani yake