TANZIA Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali David Bugozi Musuguri afariki dunia

TANZIA Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali David Bugozi Musuguri afariki dunia

Tuliishi maisha duni enzi zetu za uaskari kwa ajili ya huyu mzee.

Alikuwa ana huruma, lakini mambo ya maslahi siyo.

Tukilalamika tuongezewe mishahara,
Anamwambia Nyerere... 'Ukiziongezea mshahara zitarewa'...

Lakini yeye hadi kifo kalindwa na kanuni ya marupurupu ya viongozi wastaafu
Mshahara 80% ya Cdf aliyepo ofisini, hela ya mafuta, gari la kumhudumia na kila baada ya miaka mitano, linabadilishwa na kupelekwa jipya, matibabu yake na ya familia, ulinzi na dereva wanajeshi nk.

Apumzike kwa amani.
 
Tuliishi maisha duni enzi zetu za uaskari kwa ajili ya huyu mzee.
Alikuwa na huruma, lakini mambo ya maslahi siyo.

Tukilalamika tuongezewe mishahara,
Anamwambia Nyerere... 'Ukiziongezea mshahara zitarewa'...

Lakini yeye hadi kifo kalindwa na kanuni ya marupurupu ya viongozi wastaafu
Mshahara 80% ya Cdf aliyepo ofisini, hela ya mafuta, gari la kumhudumia na kila baada ya miaka mitano, linabadilishwa na kupelekwa jipya, matibabu yake na ya familia, ulinzi na dereva wanajeshi nk.

Apumzike kwa amani.
Mkuu ndiyo ukubwa huo; unakumbuka kwenye harusi yako kulikuwa na bia nyingi sana kwenye meza yako huku sisi tuliochanga tumepewa moja tu tena ya moto na juice ya mango ya azam
 
Mkuu hakika- ila ungemuona ungeona bado uaskari ndani yake
Sana. Na alikuwa bado ana sauti ya kuweza kusikilizwa na ma Cdf waliopo ofisini.

Kuna dereva namfahamu , mwaka juzi alipangiwa kwenda kumuendesha.

Sijui alifanya jambo gani la kumfurahisha huyo mzee, maana alipiga simu ya kimamlaka moja kwa moja makao makuu kuamuru askari huyo apandishwe cheo na kweli akapandishwa.

Wanaheshimika mpaka mwisho wao.
 
Sana. Na alikuwa bado ana sauti ya kuweza kusikilizwa na ma Cdf waliopo ofisini.

Kuna dereva namfahamu , mwaka juzi alipangiwa kwenda kumuendesha.

Sijui alifanya jambo gani la kumfurahisha huyo mzee, maana alipiga simu ya kimamlaka moja kwa moja makao makuu kuamuru askari huyo apandishwe cheo na kweli akapandishwa.

Wanaheshimika mpaka mwisho wao.
Hawa hawakuanza kwa usomi- zilianzia Uprivate mpaka zikafika UGENERAL
 
Ameishi miaka ya Mungu na ya neema
Vita amevipiga,Apumzike kwa amani .
 
Mungu aliyempa Kibali cha kuishi miaka 104, ampe pumziko la milele

Maana sio wote wamepata hiyo bahati ya kuishi na kufikia umri huo wa 104, maana Boss wake mwenyewe aliyekuwa anapewa full service check-up passed away at his 77

Pole nyingi Kwa ndugu, jamaa na marafiki kumpoteza mpendwa wao

Bwana ametoa, Bwana ametwaa 😭
 
Inawezekana. Inasemekana walikuwa wanamdanganya Nyerere asiachie madaraka, bado anastahili kuongoza. Hawa watu wa kule, enzi za utawala wa awamu ya kwanza, nao walikuwa wakubwa sana.

RIEP Edward Sokoine. RIEP General Musuguri. Haya maisha hakuna anayeishi milele
Ni kama una maelezo ya ziada kuwahusu wawili hawa uliowataja kwenye comment yako. Kuna mambo mengi sana comment yako inayaelezea japo kwa simple but very clear
 
Back
Top Bottom