TANZIA Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali David Bugozi Musuguri afariki dunia

TANZIA Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali David Bugozi Musuguri afariki dunia

Pumzika kwa amani Hayati General David Musuguri. Niliandaa risala ya kumuaga kamanda huyu wakati anastaafu.

Nakumbuka aliwashangaza wengi, pale alipostaafu na kuamua kuoa binti mhitimuwadarasa la 7. Lakini haikuleta shida kule Butiama, kwa asili yao, waliona ni sawa tu. Kwa sasa, bila shaka binti yule atakuwa tayari ni mtu mzima.

Musuguri amemaliza safari yake Duniani kwa umri usio hapa, wa miaka 104. Tumwombe Mungu, nasi atujalie maisha marefu yenye heri.

Poleni sana wafiwa.

Anazikwa tarehe ngapi? Atazikwa Butiama au Nyasirori.
 
Vita ya Kagera ni moja ya sababu za kuporomoka kwa uchumi wa Tanganyika/Tanzania lakini sio sababu pekee...

Ujinga kwa kiasi kikubwa ndio umetufikisha hapa na bado jnatupeleka tusipopataka...
Mbona Wanyarwanda wameuana sana tu lakini hadi leo hatuwafikii kimaendeleo?!
Anyway nakuunga mkono kwamba umasikini wetu umechagizwa kwa sehemu kubwa na ujinga na ufisadi wa baadhi ya viongozi
 
Ni kama una maelezo ya ziada kuwahusu wawili hawa uliowataja kwenye comment yako. Kuna mambo mengi sana comment yako inayaelezea japo kwa simple but very clear

Wote ni marehemu. Walitumikia awamu ya kwanza.
Tunawaombea pumziko la amani. Na si hao tu, hata wengine wengi waliotangulia mbele ya haki
 
Kama alikuwa Mkuu wa Majeshi 1980 had 1988, inakuwaje yeye aliongoza vita vya Kagera vya 1979?

Anyway, jamaa ameondoka kaacha Landcruiser mpya walizopewa kuwapooza wakuu wa mejeshi wastaafu wakati wa kimbembe cha kuuzwa kwa bandari!😀
Kweli penye udhia penyeza Rupia maana hata hawa waliopo kazini wamepoozwa kinoma.
 
Ukifika 80, kuanzia hapo maisha ni mateso tu
Hapana, kuna blueprint katoa mzee Al Pacino baada ya kupata mtoto na binti mmoja hivi aitwa Noor.

Mtoto Roman sasa hivi ana miezi 16 na mwenye afya.

Kuishi uzuri kwa mazoezi ya hapa na pale a have fun.
 
Back
Top Bottom