TANZIA Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali David Bugozi Musuguri afariki dunia

Acha uongo umasikini wa Tanzania ni tatizo linalotokana na mabadiliko ya mfumo kutoka Ujamaa kwenda ubepari,na ulifanyika makusudi na USA ili kuzididimiza nchi zilizokuwa zinafuta Sera za ujamaa.
Haya nijibu swali langu.
Je, tulishikiwa bunduki kutoka kwenye ujamaa kuingia kwenye ubepari?
Athari za vita ya Kagera ndio sababu kubwa ya watanganyika kuingia kwenye ubepari.
Unakataa halafu unakubali indirect.
Nyerere na wenzake wameharibu nchi
 
Alimpeleka Mwanae kucheza karate China, amekomaa huyo mpaka macho

Anasema hataki Mwanaume mlaini kwake
 
Kama alikuwa Mkuu wa Majeshi 1980 had 1988, inakuwaje yeye aliongoza vita vya Kagera vya 1979?

Anyway, jamaa ameondoka kaacha Landcruiser mpya walizopewa kuwapooza wakuu wa mejeshi wastaafu wakati wa kimbembe cha kuuzwa kwa bandari!😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…