Huyo mwamba Idi Amin hakumsahau mpaka kufa.Mwanba kweli kweli mpka mbezi kuna eneo limepewa jina lake
104Atakuwa hajafikisha miaka 150 huyu mtu kweli?
Ana wake zaidi ya 10 ...vimada na Masuria zaidi ya 100Mwisho kabisa punguzeni ngono muishi miaka mingi
Kumbe ni Musuguri wengi wanasema MsuguliNdio huyohuyo
Nyerere mwenyewe mtoto wa chief tarehe ya kuzaliwa hazijulikani itajulikana ya musuguri?!
Mbona Wanyarwanda wameuana sana tu lakini hadi leo hatuwafikii kimaendeleo?!Vita ya Kagera ni moja ya sababu za kuporomoka kwa uchumi wa Tanganyika/Tanzania lakini sio sababu pekee...
Ujinga kwa kiasi kikubwa ndio umetufikisha hapa na bado jnatupeleka tusipopataka...
104RIP. ndio yule mwenye miaka 100+ au nachanganya mambo?
Ni kama una maelezo ya ziada kuwahusu wawili hawa uliowataja kwenye comment yako. Kuna mambo mengi sana comment yako inayaelezea japo kwa simple but very clear
Au atafute utaratibu wa kujiunga na Petra Elderly Care Centre.Tafuta mapesa mengi ujitegemee na kujenga hospitali yako mwenyewe.
Kweli penye udhia penyeza Rupia maana hata hawa waliopo kazini wamepoozwa kinoma.Kama alikuwa Mkuu wa Majeshi 1980 had 1988, inakuwaje yeye aliongoza vita vya Kagera vya 1979?
Anyway, jamaa ameondoka kaacha Landcruiser mpya walizopewa kuwapooza wakuu wa mejeshi wastaafu wakati wa kimbembe cha kuuzwa kwa bandari!😀
Hapana, kuna blueprint katoa mzee Al Pacino baada ya kupata mtoto na binti mmoja hivi aitwa Noor.Ukifika 80, kuanzia hapo maisha ni mateso tu