Mkuu wa majeshi wa Uganda, Gen. Muhoozi Kainerugaba, anapanda mbegu gani kisiasa na anatoa ujumbe gani kwa demokrasia ya Afrika Mashariki?

Ndiyo maana huwa napenda kusema tusubiri hadi jamii mafuvu yatakaporudishiwa akili,
 
Haiwezekani maana jeshi lote wanawekana wanojuana mabinamu na wajomba ambao ndio waofisa wa vyeo vya juu hawa wengine mnaishia huko chini..
However nakubali hakuna marefu yasio na ncha naona kabisa utawala wa mseven & family ukifika mwisho hapo uganda muda sio mrefu.
 
Ali Bongo Odimba wa hapo Gabon, si alitinduliwa na mtoto wa dada yake kabisa gentleman?๐Ÿ’

hapo kwenye marefu yasio na mwisho nakubali ๐Ÿ‘Š
 
Ndiyo maana huwa napenda kusema tusubiri hadi jamii mafuvu yatakaporudishiwa akili,
huko ni kukataa tamaa, kukosa ubunifu, ushawishi wa mawazo mapya na fikra mbadala.

Meaning you are completely done, you are now kanyaga twende tu bora liende dah ๐Ÿคฃ
 
Hiv huyu mwama ana age inasoma ngapi??
CV yake inaweza ikawa japo inaendana na akina Nkunda, mabeyo, mwamunyange???
Huyu jamaa amezaliwa Dar es salaam sijui ni hospital gani, Lakini na ana umri wa miaka50 sasa.

sijui cv yake inaweza kulingana na hao uliowataja eneo gani,

but jamaa hana historia ya kupata elimu kwenye taasisi za elimu za kiraia, meaning historia yake haionyeshi ikiwa amewahi kusoma nje ya vyuo vya kijeshi tena ni vile vya kifahari ๐Ÿ’
 
wewe
mambo ya uganda
yanakuhusu nini?
 
Huyo jamaa ni mtu mtata ana fikra za kijivuni za kitutsi. Nina shaka kwamba ni mtu mlevi pombe inamchanganya kichwa. Sasa unafikiri angetangaza kugombea urais wakati baba yake anagombea na ndiye mtu anamtayarisha yeye kurithi madaraka? Anataka watu wafikiri kwamba kutogombea yeye 2026 ni habari kubwa wakati hapohapo kasema baba yake mwenye miaka 80 atagombea urais.
 
Bilashaka anaweza kua anatumia hicho unachosema na for sure ni mjivuni mbaya sana ๐Ÿ’
 
Mama yenu ashawaweka wakubwa wa majeshi chini ya Dully.

Mbegu imeanza kuota
 
Mama yenu ashawaweka wakubwa wa majeshi chini ya Dully.

Mbegu imeanza kuota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ