PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Wewe ntondo kweli. Hiyo picture imetoka kwenye live event alipoitembelea hiyo kambi.Mnaleta picha za zamani mpya mmezificha wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ntondo kweli. Hiyo picture imetoka kwenye live event alipoitembelea hiyo kambi.Mnaleta picha za zamani mpya mmezificha wapi?
Hii picha imetoka kwenye liveblog na sio live event na na ndio maana ipo hii tu.Wewe ntondo kweli. Hiyo picture imetoka kwenye live event alipoitembelea hiyo kambi.
Huyu fala nachojua ni kafaaa ..ngoja niwasiliane na watu wa karibu na makazi yake anapokaa wanipe detail za mazishi ,,napicha za live toka msibani naleta hapaaWadau hamjamboni nyote?
Mkuu wa majeshi Israel aibuka na kutinga kibabe kwenye kambi ya Jeshi la Israel huko milima ya Golan Leo
---
October 14, 2024
IDF chief visits base hit in ‘serious and painful’ drone strike
IDF Chief of Staff Herzi Halevi talks to soldiers at a Golani base in northern Israel after a deadly Hezbollah drone attack on October 14, 2024 (Israel Defense Forces)
Israel Defense Forces chief of staff Herzi Halevi visits the Golani base that was hit in a deadly Hezbollah drone strike.
The general praises troops for how they handled the attack in which four soldiers were killed and another 58 wounded.
“We are at war and an attack on a training base in the rear is serious with painful results,” says Halevi. “You acted properly in treating and evacuating the wounded and the victims.”
“We continue to fight and train for upcoming [battles],” he says.
PIA SOMA
- Netanyau atinga kambi ya Jeshi la Israel iliyopigwa na drone, aapa kuitandika Hezbollah bila huruma popote walipo Lebanon ikiwemo Beirut
View attachment 3125193
Mimi sijaongelea liveblog, nimesema live eventHii picha imetoka kwenye liveblog na sio live event na na ndio maana ipo hii tu.
Na kale kavideo cha sekunde 15 unadhani wote hatufatilii.
Hii picha imetoka kwenye liveblog na sio live event na na ndio maana ipo hii tu.
Na kale kavideo cha sekunde 15 unadhani wote hatufatilii.
Hata yule wa Mossad aliye uliwa walikataa hakufaa bada wa kadai karesign na huyu watasema karesign pia 😄Vyombo vya kimataifa vya Habari havikuthibitisha kama huyo Chief aliuawa!
Mimi na uwezo wa kumzaa baba yako wacha wewe.Dogo tuendelee kufuata maagizo ya Sheikh Kitinku. Tuwateteee Hezbollah kwa hali na mali
Kavulugwa nenda urudi huna meno!Dah kuna pisi kali hapo mjeda nimemtamani
Sasa nilicho kwambia na ulicho tuma huoni kama ni sawa?
Soma taarifa hiyo, pia sijatuma source mojaSasa nilicho kwambia na ulicho tuma huoni kama ni sawa?
Na wenyewe ni binadamu; omba namba tu bro.Dah kuna pisi kali hapo mjeda nimemtamani
Huku suala na umri halizingatiwi sana mkuu,,Mimi na uwezo wa kumzaa baba yako wacha wewe.
inafurahisha sana kuona hakuna anayepinga kwamba kipigo heavy cha kisasa kiliangushwa kwenye hiyo kambi kutoka hezbollah kama mnavyopingaga vipigo vingine vilivyopita,mmeona kujibanza kwa huyo Halevi kisa hakufaKuna chawa uchwara wa Putin Yericko Nyerere alidanganya kuwa Halevi kauawa na Hisbollah anyway wapi alipo Ismail Kanni? Kamanda wa Quds
Acha ujinga.Kwa hiyo kutokuwepo kwa picha mpya ndio iwe kigezo cha kuleta picha za zamani
Mnatumia akili kweli?
Au uongo ndio sehemu ya maisha yenu.
IDF ina askari wa kike warembo, mi nawaomba tu wawaruhusu hao warembo waende likizo, warembo kama hao kuwatandika na mabomu sio vizuri.
Dogo unakurupuka sana...umepaniki. sheikh kitinku hajambo lakini?Mimi na uwezo wa kumzaa baba yako wacha wewe.