Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Si umeona wale op mama samia walirudishwa walikuwa form six , degree na diplomaHapo sasa ndo nimeelewa leo. Duuh hatareeeh sana lol
Sasa sijui kama na wao watarudishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umeona wale op mama samia walirudishwa walikuwa form six , degree na diplomaHapo sasa ndo nimeelewa leo. Duuh hatareeeh sana lol
Hakuna cha kanuni bana...
Hizi ndio hoja watu wanatakiwa wajiulize. Anaweza kuwasamehe na wanasota tena miaka minne bila ajira wakati uko mtaani walikuwa washaanza kujipanga. Kilichowafanya wagome ni kuambiwa warudi nyumbani, sio kwamba walikaa muda mrefu bila kuajiriwa.Wana uhakika wa kuwapa ajira walizokua wanataka au wanawarudisha kumalizia mkataba wa kujitolea then warudi home?
Ni kweli walistahili ajira lakini aliyewaahidi tayari alishaonja mauti na pia taritibu za kudai haki jeshini haziruhusu migomo wala maandamano mkuu.Hakuna cha kanuni bana...
Sasa kama Amiri Jeshi mkuu alitoa ahadi (ambayo ni amri) kuwa waajiriwe permanent kwanini jeshi likakiuka maagizo?
ningepewa mamlaka haki ile system ya watumishi kupelekwa jeshini kwanza ningerudishaa...jeshi tuu ndo mahala nidhamu na maadili huzingatiwa kwa asilimia zote...one up kwa Mkuu Mabeyo!Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo ametoa msamaha kwa vijana 853 kati ya 854 (mmoja alifariki) waliofukuzwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Aprili 2021 kwa makosa ya kinidhamu.
Jenerali Mabeyo ameagiza vijana hao warejeshwe katika kambi za JKT tayari kuanza mafunzo.
"Vijana wa JKT 853 waliosamehewa wapokelewe ifikapo March 12, 2022 na watakapokelewa katika Kambi moja tu, kambi namba 841 ya JKT ipo Mafinga Iringa.
"Katika msafara wa mamba na kenge watajipenyeza, niwaombe Vijana ambao hawahusiki na msamaha huu wasijipenyeze, Vijana hawa 853 orodha yao yote imeandaliwa na tumefanya utafiti mpaka kwenye ngazi zao za Familia, hata makundi yao ya damu kwa kila mmoja limeorodheshwa kwa hiyo udanganyifu hautojitokeza utapimwa kwa jina picha na damu yako," amesema Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda, Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano (JWTZ).
Pia, soma:
1). JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi
yaah walistahili kabisa na ukizingatia ahadi ni deniOoooh ahsante kwa ufafanuzi,. Ni haki yao wapewe permanent employment bhana, walinzi wetu hawa.
Dikteta Magufuli alikuwa mnyama sana! Baada ya kuwatumikisha watoto wa wenzake bila malipo akaamua kuwatimua. Bila shaka maovu yote aliyotenda mnyama Magufuli yatarekebishwa!Safi sana CDF Mabeyo haiwezekani asamehewe gaidi mbowe alafu vijana wazalendo wa JKT waliojenga ukuta wa Mererani na Ikulu ya Dodoma waachwe wakiteseka mitaani
Kwahiyo bro ... Mfano mpo jeshini na mnaona (mnadai) haki yenu mnaona mnadhululiwa/haitimizwi vile kiuhalali huwa Kuna njia gani?Ni kweli walistahili ajira lakini aliyewaahidi tayari alishaonja mauti na pia taritibu za kudai haki jeshini haziruhusu migomo wala maandamano mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hiv unajua hata kilichotokea?Naona Jeshi la Waaasi miaka 20 mbele, tusilete Siasa kwenye Ulinzi na Usalama wa Taifa letu. Unarudisha Jeshini Askari waaasi wa Kiapo cha Kijeshi.. africa is shithole, nitakuwa wa mwisho kuelewa hii logic
Hao vijana wametimuliwa April 2021 magufuli ameshafarikiDikteta Magufuli alikuwa mnyama sana! Baada ya kuwatumikisha watoto wa wenzake bila malipo akaamua kuwatimua. Bila shaka maovu yote aliyotenda mnyama Magufuli yatarekebishwa!
Watasimulia watakachokikuta ile kambi ngumu sanahao wanaandaliwa kupewa permanent.waligoma na kutaka kuandamana wakishinikiza ajira ya moja kwa moja kama walivyohaidiwa na JPM pindi watakapomaliza ujenzi wa ikulu ya Chamwino na kujitolea kwenye miradi mingine ya maendeleo
Sent using Jamii Forums mobile app
Una umri gani kijana?.Kwani Mererani ndo nini?
Waliopigana Uganda walirudishwa uraiani, sasa itakuwa hao?
Utaumia na kuteseka Sana kipindi hiki!Safi sana CDF Mabeyo haiwezekani asamehewe gaidi mbowe alafu vijana wazalendo wa JKT waliojenga ukuta wa Mererani na Ikulu ya Dodoma waachwe wakiteseka mitaani