pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 743
- 1,148
Dikteta Magufuli alikuwa mnyama sana! Baada ya kuwatumikisha watoto wa wenzake bila malipo akaamua kuwatimua. Bila shaka maovu yote aliyotenda mnyama Magufuli yatarekebishwa!
embu tupe experience kidogo mkuu .mimi kipindi icho walinipanga pale mujibu sikutaka utani na baridi la Iringa nikawakacha nikaenda kambi nyingine [emoji16]Watasimulia watakachokikuta ile kambi ngumu sana
mimi sio mwanajeshi mkuuKwahiyo bro ... Mfano mpo jeshini na mnaona (mnadai) haki yenu mnaona mnadhululiwa/haitimizwi vile kiuhalali huwa Kuna njia gani?
Mnakula buyu haki inapotea mnashuhudia?
Mama katisha tena aise daaah,View attachment 2140422
===
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe na kuwarudisha Vijana wote wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "
Hata hivyo kwa bahati mbaya JWTZ ina taarifa kuwa Kijana mmoja kati ya Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853,
Sasa ni rasmi Mama yetu mnyenyekevu ameagiza Vijana wote 853 warudi makambini,
Asante CDF, Asante Madame President,
Nasisitiza hakuna kama Rais Samia,
No more words [emoji112][emoji112]Urais shughuli Bi Mwakatozo anazidi kuwa mbibi.
hakuna FaizaFoxyNani kama Mama?
Namuona raisi msaidizi Kabudi katoa hicho paleView attachment 2140422
===
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe na kuwarudisha Vijana wote wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "
Hata hivyo kwa bahati mbaya JWTZ ina taarifa kuwa Kijana mmoja kati ya Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853,
Sasa ni rasmi Mama yetu mnyenyekevu ameagiza Vijana wote 853 warudi makambini,
Asante CDF, Asante Madame President,
Nasisitiza hakuna kama Rais Samia,
Kuna watu watapinga...Hiii nchi inawapumbavu wengi sana
Habari yako mwali..!!Nani kama Mama?
Acha kujipigia promo!!!Nani kama Mama?
View attachment 2140422
===
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe na kuwarudisha Vijana wote wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "
Hata hivyo kwa bahati mbaya JWTZ ina taarifa kuwa Kijana mmoja kati ya Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853,
Sasa ni rasmi Mama yetu mnyenyekevu ameagiza Vijana wote 853 warudi makambini,
Asante CDF, Asante Madame President,
Nasisitiza hakuna kama Rais Samia,