love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Acha kupotosha..Hawa vijana waligoma baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ajira,ilikua ajira zikitoka wana achwa wao makambini wana ajiriwa ndugu na jamaa za vigogo.
Kwa amri hii ya Rais hawa vijana wanapata ajira au wanarudi kuendelea kujitolea bila malipo yyt ktk makambi ya JKT?
Anaye elewa pls atuambie
[emoji1787][emoji1787]Hiii nchi inawapumbavu wengi sana
Acha uchokoziAcha kujipigia promo!!!
Sema umetisha.
Kwani dunia ni yetu!!!?
Kuna kambi zinatisha sio kwa sababu zina mafunzo tofauti hapana ila kazi zilizoko kule 😫embu tupe experience kidogo mkuu .mimi kipindi icho walinipanga pale mujibu sikutaka utani na baridi la Iringa nikawakacha nikaenda kambi nyingine [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
HakunaaaNani kama Mama?
Kipi kinakukwaza?Huku misamaha huku mikopo.
Misamaha and Mikopo Republic.
Nani kama mama
Mama Samia turudishie na Fao la kujitoa haswaa kwa NSSF ?Nani kama Mama?
Mtapata soon, Nchi imepata mwenyewe,Mama Samia turudishie na Fao la kujitoa haswaa kwa NSSF ?
kupimwa blood group ni kitu cha kawaida jeshini mkuuYa leo kali
Utambulisho kwa njia ya damu....
Hivi viongozi wa jeshi waliotoa tamko hili nao ni kama Polisi wa Simbachamwene ambao alisema hawahitaji kwenda shule ?
Ni kweli, hujakosea! Yule mwingine Urais hadi uling'oa roho yakeUrais shughuli Bi Mwakatozo anazidi kuwa mbibi.
Walianzisha mgomo kudai ajira.....Walifukuzwa kwa kosa gani?
Hii nchi haliwezi fanyika jambo na watu wengine ispokuwa samia? Alowasamehe hawa watu ni samia au mabeyo? Mataga mnatumiaga hata nusu ya akili zenu kweli?View attachment 2140422
===
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe na kuwarudisha Vijana wote wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "
Hata hivyo kwa bahati mbaya JWTZ ina taarifa kuwa Kijana mmoja kati ya Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853,
Sasa ni rasmi Mama yetu mnyenyekevu ameagiza Vijana wote 853 warudi makambini,
Asante CDF, Asante Madame President,
Nasisitiza hakuna kama Rais Samia,
Hawakupata vyeti vya kuhitimu ujue hilo.Hawa vijana waligoma baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ajira,ilikua ajira zikitoka wana achwa wao makambini wana ajiriwa ndugu na jamaa za vigogo.
Kwa amri hii ya Rais hawa vijana wanapata ajira au wanarudi kuendelea kujitolea bila malipo yyt ktk makambi ya JKT?
Anaye elewa pls atuambie
Unaweza kutofautisha ulichoandika mwenzio na ulichoandika wwAcha kupotosha..
Hawa waliondolewa JKT kwa sababu walikuwa wanajenga ikulu dodoma na walikuwa wameshaahidiwa
na Hayati Magufuli watapata ajira siku chache baada ya kifo chake wakapangiwa kambi zingine hivyo
wakaona kama hawatapata kazi na si kuwa walikuwa wanaajiriwa watoto wa wakubwa.
Wakati wanafukuzwa si yeye ndie alikuwa rais....au ndio kusema na hao vijana waliutaka urais wake 😀View attachment 2140422
===
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo,
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe na kuwarudisha Vijana wote wa JKT waliofukuzwa makambini April 12,2021 kutokana na utovu wa nidhamu "
Hata hivyo kwa bahati mbaya JWTZ ina taarifa kuwa Kijana mmoja kati ya Vijana 854 waliofukuzwa amefariki na walio hai ni 853,
Sasa ni rasmi Mama yetu mnyenyekevu ameagiza Vijana wote 853 warudi makambini,
Asante CDF, Asante Madame President,
Nasisitiza hakuna kama Rais Samia,