Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mission Accomplished.Duuuh aiseee,hapo kupona ngumu 😭
Kama wamedhamilia huponi!N
Ndege ikianguka kupona inakuwa mziki sana.
Kenya hawana chaguzi zinazoingiliwa na wakuu wa majeshi, huo ujinga upo huku kwetu kwenye katiba mbovuHebu mwenye history ya namna huyu Mkuu wa Majeshi alivyopanda cheo atuwekee humu. Nahisi alipata kama shukrani kutoka kwa William Rutto kwa mambo aliyomsaidia wakati wa uchaguzi
Ni kweli uchaguzi wao baada ya katiba mpya ni huru sana. Lakini Ogola alionekana kwenye Cctz za tume ya uchaguzi akiingia ofisi ya Mwenyekiti wa tume, Mwenyekiti alikiri kushauriwa amtangaze Raila kwa sababu za kiusalama ila akakataa. Yes bila kuwa huru pengine angemtangazaKenya hawana chaguzi zinazoingiliwa na wakuu wa majeshi, huo ujinga upo huku kwetu kwenye katiba mbovu
Makomandoo waliisotea mafunzo na kuhitimu wanao huo uwezo wa kujirusha mkuu, Ila kwa hawa wa kupewa ukomandoo kwa hisani huwa hawawezi kuruka hata futi moja.
Halafu aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump alivyotuambia Sisi Waafrika ni Wapumbavu Kiasili tukamchukia mno tu.Helicopter ya jeshi, iliyobeba wanajeshe na iliyoebda eneo hatarishi inakosa parachute hata moja
That CDF is no more is it Mkuu au?Confirmed
Yasser Arafat tu ndio alianguka na ndege halafu akadunda.N
Ndege ikianguka kupona inakuwa mziki sana.
Humu makazini ni sehemu za hatari sanaAssassination missions accomplished 📌🥋
SkepticalDo you mean that this tragedy is the Staged Accident?
Yes,wanasubiri Zakayo awatangazie rasmiThat CDF is no more is it Mkuu au?