TANZIA Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (KDF) Jenerali Francis Ogolla afariki katika ajali ya Helikopta ya Jeshi

Watoto wawili?
Alilipenda jeshi zaidi akasahau kupanda mbegu.
 
Hiv kwann wasingechomoka na parushut walikuw wanapamban tuu ku control
 
Alimkorofisha nani huko
Ogolla ni Mjuo, na Helicopter imeanguka kwenye province ya Kalenjin - Ruto's tribe. Kazi ipo.

Na ndio huyu alikuwa deputy chief wakati wa kutangaza matokeo akasema kampandisha cheo hata kama alienda Bomas kutaka kuyapindua.
Your browser is not able to display this video.
 
Helicopter ya jeshi, iliyobeba wanajeshe na iliyoebda eneo hatarishi inakosa parachute hata moja
Ajali za helicopter sio kama za ndege, ndege inawez akupata hitilafu ya engine na bado ika maintain altitude na orientation. Helcpter ni kinyume maranyingi huwa inapoteza hadi uelekeo na kuanza kujizungusha!! making it almost imposible kutumia parachute.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…