TANZIA Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (KDF) Jenerali Francis Ogolla afariki katika ajali ya Helikopta ya Jeshi

TANZIA Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (KDF) Jenerali Francis Ogolla afariki katika ajali ya Helikopta ya Jeshi

Makomandoo waliosotea mafunzo na kuhitimu wanao huo uwezo wa kujirusha mkuu, Ila kwa hawa wa kupewa ukomandoo kwa hisani huwa hawawezi kuruka hata futi moja.
Chifu hata kwa akili za kuzaliwa tu ni wapi huko kuna koneksheni ya ukomandoo bila msoto halali wa mafunzo ya kikomandoo kwa hatua zote?

Madhara yake yakoje kwa Jeshi zima la nchi yake kiujumla?
 
Back
Top Bottom