Mkuu wa Mkoa Mbeya, Homera usiingilie sana masuala ya Walimu na Wanafunzi utawatia ukaidi zaidi wanafunzi

Mkuu wa Mkoa Mbeya, Homera usiingilie sana masuala ya Walimu na Wanafunzi utawatia ukaidi zaidi wanafunzi

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Mh. Homera RC Mbeya: usiingilie sana mambo walimu na wanafunzi kwamba umejivika kuwa mtetezi wao hata kwa mambo ya kipumbavu na usichukulie mambo ya walimu na wanafunzi too emotional hasa haya ya kinidhamu unakosea sana.

Nadhani umeaona mlivyo dhalilika kwenye swala la yule binti wa Dandahili sec hapo Songwe, taarifa za yule ni chafu tangiapo ni muhuni na mjeuri,nanni desturi yake kutorokea wa wanaume na tukio lile halikuwa la kwanza, binti hata kwa kumwangalia tu kimuonekani hana maadili, kuamzia uvaaji, unyoaji na hata uongeaji, ili kujisafisha muonekane hamjadhalilika mkashauri bint akiondoe kwanza kiduku chake halafu ajotokeze kwenye media kujisafisha ili aonekane kweli kanyanyaswa na nyie mlio livalia njuga hamja aibika lakini uzuri mungu hamfichi mnafiki ukweli wote umejulikana

Haya leo tena umelivagaa la Loleza kimihemko , mzee tuliza kichwa kwanza kabla, maisha ya hao wanafunzi na nidhamu zao ni msalaba mzito sana kwa walimu hao kwa vile hamjui tuu, mnaenda na ma v8 yenu hapo tukio la siku moja mnalibeba utadhani miaka yote mnashinda hapo shuleni na mnayajua yanayo tendeka,

Msidhani kupata matokeo mazuri ni kupiga tu kelele ubaoni tulio pita kwenye ualimu tuna mengi ya kuyaeleza na kwa kizazi cha sasa cha singeli hili hali ni mbaya sana kinidhamu humo mashuleni.

Unatakiwa kutambua wanasiasa kwa kutafuta kwenu sifa kwenye jamii mmechangia sana mmomonyoko wa maadili huko mashuleni mmomonyoko ambao umelelewa tangu majumbani

Jikite kwenye mambo ya msingi sana , mbeya ina mambo mengi sana ya msingi ya kuyatatua na kuyafanyia hayo maigizo yako ya ziara za kushtukiza, huo utaratibu wako wa kuanza kuvizia walimu utarudisha nyuma taaluma maana utawajaza ukaidi zaidi wanafunzi jambo ambalo si jema.

Mambo mengine ni mepesi sana hasa kama hilo la loleza sec hukupaswa kabisa kulifanya liwe headlines na makamera na waandishi lukuki hapo umetaka sifa tuu mzee na hujui wewe na hao washauri wako kwamba mnazidi kupandikiza chuki kwenye jamii dhidi ya walimu maana hata kama jambo ni la kawaida kiongozi mkubwa akisha likuza tayari na jamii italibeba kwa sura hiyo hiyo.

Na ni vile walimu ni kundi lisilo na mtetezi hapo nyumbani,lakin huo upande ulio uchagua sio sahihi wa wewe kuchukulia point tatu muhimu.

Jikite kwenye mambo ya msingi zaidi au nikushauri nenda JKT kwa mujibu kwenye kambi ukatizame hao hao wanacho kifanya huko.

Naona tusigeuze wanafunzi kama ni kundi ambalo linatakiwa lilelewe kama yai tutakosea sana na hasa kwa aina ya wanafunzi wengi waliopo africa hii, kutokana na makuzi na malezi yao humo majumbani mwao.

Pia soma:
- Mbeya: Mwalimu wa Shule ya Loleza Girls afunga Bweni na kuwalaza Darasani Wanafunzi

NB: viongozi punguzeni mihemko na sifa kwenye mswala ya kijamii tumieni busara na hekima zaid mnazidi kuiharibu jamii.

Ni hayo tu Mh. RC OMERA
Wako mtiifu
Simu: +1517388***3
Lansing - Michigan.
 
Walimu mnavuna mlichopanda. Huwa mnajifanya miungu watu wakati wa chaguzi mnaminya haki za wapiga kura kwa kuisaidia ccm kuiba kura.

Homera hakikisha walimu wanawaslimia wanafunzi na siyo kinyume chake ili walimu washike adabu
 
Walimu mnavuna mlichopanda. Huwa mnajifanya miungu watu wakati wa chaguzi mnaminya haki za wapiga kura kwa kuisaidia ccm kuiba kura.

Homera hakikisha walimu wanawaslimia wanafunzi na siyo kinyume chake ili walimu washike adabu
Walimu wanahusikaje na maswala ya uchaguzi kwani walimu ndio tume ya uchaguzi ?
 
Huyu
Mkuu wamkoa ni mshezi Sana ,kunakitu marekani walikiazisha nadhani chini ya mwavuli wa UN

SPW-student partnership worldwide ,angejua malengo yake asingethubutu kutisha walimu dhidi yahao wanafunzi

Akina ,ESTER na Esther
 
Huyu
Mkuu wamkoa ni mshezi Sana ,kunakitu marekani walikiazisha nadhani chini ya mwavuli wa UN

SPW-student partnership worldwide ,angejua malengo yake asingethubutu kutisha walimu dhidi yahao wanafunzi

Akina ,ESTER na Esther
Viongozi wengi hawaelewi lolote kuhusu maisha ya wanafunzi na mienendo miaka ya kuita wanafunzi wa sekondari tena advance eti watoto huo ni ujinga wa hali ya juu kabisa , hao huwa wanajibizana na walimu kama wadogo zai na wanavyo wajaza kiburi sijui wanataka walimu wawafundishaje huko shuleni kwa kizazi hiki
 
Mkuu wa mkoa yuko sahihi. Mwalimu apewe onyo, alihatarisha usalama wa watoto. Ingetokea dharura kwa mfano moto ingekuwaje?? Mzembe sana huyu mwalimu. Kila kosa lina adhabu yake stahiki kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.

Kuzi tu hapo wanafunzi wamefariki wakichima shimo kama adhabu. Mambo ya kipumbavu kabisa.
 
Huyu
Mkuu wamkoa ni mshezi Sana ,kunakitu marekani walikiazisha nadhani chini ya mwavuli wa UN

SPW-student partnership worldwide ,angejua malengo yake asingethubutu kutisha walimu dhidi yahao wanafunzi

Akina ,ESTER na Esther
Nilishangaà nikiwa Georgia kuna shule hapa inaitwa Gwinnett kama sijkosea jina wanafunzi wanachapwa bakora vizuri tu

Hadi nikajiuliza sisi huu ujinga tumetoka nao wapi wa kutaka wanafunzi wawe mayai wasiguswe? mbona wao wanachapa tu nimeshuhudia mwenyewe kabisa
 
Mkuu wa mkoa yuko sahihi. Mwalimu apewe onyo, alihatarisha usalama wa watoto. Ingetokea dharura kwa mfano moto ingekuwaje?? Mzembe sana huyu mwalimu. Kila kosa lina adhabu yake stahiki kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.

Kuzi tu hapo wanafunzi wamefariki wakichima shimo kama adhabu. Mambo ya kipumbavu kabisa.
Una mawazo madogo sana wewe ina maana unaamini huo moto ni salama zaidi mwanafunzi akiwa bwenini kuliko akiwa darasani?

Watu wenye reasoning ndogo kama nyie ndio mnapewa madaraka matokeo yake mnakuwa na miheko hata katika mambo madogo nanya kawaida kabisa

Kwani kuchimba shimo ni kosa? Wewe umesoma shule gani labda ? Maana kuchimba shimo ni adhabu ya kawaida kabisa kwa mtoto mtukutu watu wameng'oa visiki na kufyatua tofali wewe unaongea habari ya shimo, nyie ndio mnao fanya hii nchi watu wanakuwa magoi goi na hawajitumi kufanya kazi mnalea uvivu mkudhani ndio usasa ndio maana nchi imejaa wezi wasio jua kuwajibika.
 
Kwani RC majukumu yake ni yepi ?
Na mipaka yake je ni ipi ?
Kazi za kisiasa ni Ngumu sana.
Lazima ufanye kazi kuonekana
Siyo kutekeleza wajibu wako .
Walimu fanyeni mkadirio Mzuri wa kazi yenu
Sungura amfukuze mbwa
 
Mkuu wa mkoa yuko sahihi. Mwalimu apewe onyo, alihatarisha usalama wa watoto. Ingetokea dharura kwa mfano moto ingekuwaje?? Mzembe sana huyu mwalimu. Kila kosa lina adhabu yake stahiki kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.

Kuzi tu hapo wanafunzi wamefariki wakichima shimo kama adhabu. Mambo ya kipumbavu kabisa.
Siokweli tunatoafutiana Sana
Tuache kulala na watoto mpaka umri wa miaka 4 ,miwili inamtosha kuanza kujitegemea Ili imjengee uwezo wa akili Toka mdogo
 
Tanzania nchi ambayo viongozi wanatengeneza matatizo na kuyatatua ili kupata credit(kila mtu atetee ugali wake)
 
Mh. Homera RC Mbeya: usiingilie sana mambo walimu na wanafunzi kwamba umejivika kuwa mtetezi wao hata kwa mambo ya kipumbavu na usichukulie mambo ya walimu na wanafunzi too emotional hasa haya ya kinidhamu unakosea sana.

Nadhani umeaona mlivyo dhalilika kwenye swala la yule binti wa Dandahili sec hapo Songwe, taarifa za yule ni chafu tangiapo ni muhuni na mjeuri,nanni desturi yake kutorokea wa wanaume na tukio lile halikuwa la kwanza, binti hata kwa kumwangalia tu kimuonekani hana maadili, kuamzia uvaaji, unyoaji na hata uongeaji, ili kujisafisha muonekane hamjadhalilika mkashauri bint akiondoe kwanza kiduku chake halafu ajotokeze kwenye media kujisafisha ili aonekane kweli kanyanyaswa na nyie mlio livalia njuga hamja aibika lakini uzuri mungu hamfichi mnafiki ukweli wote umejulikana

Haya leo tena umelivagaa la Loleza kimihemko , mzee tuliza kichwa kwanza kabla, maisha ya hao wanafunzi na nidhamu zao ni msalaba mzito sana kwa walimu hao kwa vile hamjui tuu, mnaenda na ma v8 yenu hapo tukio la siku moja mnalibeba utadhani miaka yote mnashinda hapo shuleni na mnayajua yanayo tendeka,

Msidhani kupata matokeo mazuri ni kupiga tu kelele ubaoni tulio pita kwenye ualimu tuna mengi ya kuyaeleza na kwa kizazi cha sasa cha singeli hili hali ni mbaya sana kinidhamu humo mashuleni.

Unatakiwa kutambua wanasiasa kwa kutafuta kwenu sifa kwenye jamii mmechangia sana mmomonyoko wa maadili huko mashuleni mmomonyoko ambao umelelewa tangu majumbani

Jikite kwenye mambo ya msingi sana , mbeya ina mambo mengi sana ya msingi ya kuyatatua na kuyafanyia hayo maigizo yako ya ziara za kushtukiza, huo utaratibu wako wa kuanza kuvizia walimu utarudisha nyuma taaluma maana utawajaza ukaidi zaidi wanafunzi jambo ambalo si jema.

Mambo mengine ni mepesi sana hasa kama hilo la loleza sec hukupaswa kabisa kulifanya liwe headlines na makamera na waandishi lukuki hapo umetaka sifa tuu mzee na hujui wewe na hao washauri wako kwamba mnazidi kupandikiza chuki kwenye jamii dhidi ya walimu maana hata kama jambo ni la kawaida kiongozi mkubwa akisha likuza tayari na jamii italibeba kwa sura hiyo hiyo.

Na ni vile walimu ni kundi lisilo na mtetezi hapo nyumbani,lakin huo upande ulio uchagua sio sahihi wa wewe kuchukulia point tatu muhimu.

Jikite kwenye mambo ya msingi zaidi au nikushauri nenda JKT kwa mujibu kwenye kambi ukatizame hao hao wanacho kifanya huko.

Naona tusigeuze wanafunzi kama ni kundi ambalo linatakiwa lilelewe kama yai tutakosea sana na hasa kwa aina ya wanafunzi wengi waliopo africa hii, kutokana na makuzi na malezi yao humo majumbani mwao.

Pia soma:
- Mbeya: Mwalimu wa Shule ya Loleza Girls afunga Bweni na kuwalaza Darasani Wanafunzi

NB: viongozi punguzeni mihemko na sifa kwenye mswala ya kijamii tumieni busara na hekima zaid mnazidi kuiharibu jamii.

Ni hayo tu Mh. RC OMERA
Wako mtiifu
Simu: +1517388***3
Lansing - Michigan.
Pole mwalimu umeongea kwa uchungu sana lakini mwalimu kwanini mnatafuna watoto wa wenzenu!
 
Swala la kufwatiliwa na MEK katoka mkuu wa mkoa,Tanganyika yetu
 
Bwenini huwa wanafungiwa kwa nje?? Acha ujinga.
Yaani hapa wewe ndio mjinga kwa sababu hujasoma habari ukaielewa sasa sijui unajiondoaje kwenye ujinga kama hata kuelewa tu habari iliyo andikwa kwa lugha yako bado huelewi , hebu tuoneshe ni wapi wamesema mwalimu aliwafungia kwa nje?
 
Pole mwalimu umeongea kwa uchungu sana lakini mwalimu kwanini mnatafuna watoto wa wenzenu!
We vip mbona unaongelea mambo ambayo si sehemu ya mjadala? Kwani wewe mwenzetu vipi huwa unakula watoto wako mwenyewe au na wewe unakula wa wenzio?
 
Walimu mnavuna mlichopanda. Huwa mnajifanya miungu watu wakati wa chaguzi mnaminya haki za wapiga kura kwa kuisaidia ccm kuiba kura.

Homera hakikisha walimu wanawaslimia wanafunzi na siyo kinyume chake ili walimu washike adabu
manyumbu ya CHADEMA utayajua tu, topic tofauti anazungumzia uchaguzi, mwl. ana impact gani ktkt uchaguzi wakati msimamizi ni mkurugenzi wa wilaya. CHADEMA hata miaka 100 ijayo hamtashika uongozi wa nchi hii hasa kwa akili km hizi zako.
 
manyumbu ya CHADEMA utayajua tu, topic tofauti anazungumzia uchaguzi, mwl. ana impact gani ktkt uchaguzi wakati msimamizi ni mkurugenzi wa wilaya. CHADEMA hata miaka 100 ijayo hamtashika uongozi wa nchi hii hasa kwa akili km hizi zako.
wafuasi wengine wa CHADEMA wana akili za hovyo sana wao kila jambo wanaingiza siasa
 
We vip mbona unaongelea mambo ambayo si sehemu ya mjadala? Kwani wewe mwenzetu vipi huwa unakula watoto wako mwenyewe au na wewe unakula wa wenzio?
Jamaa hajui walimu tunapitia nyakati ngumu,Hawa wanafunzi wa Sasa hapana Kwa kweli
 
Jamaa hajui walimu tunapitia nyakati ngumu,Hawa wanafunzi wa Sasa hapana Kwa kweli
Vingozi wengi nchi hii reasoning yao ni ndogo sana tena hata kwa mambo ya kawaida kabisa
 
Kwani RC majukumu yake ni yepi ?
Na mipaka yake je ni ipi ?
Kazi za kisiasa ni Ngumu sana.
Lazima ufanye kazi kuonekana
Siyo kutekeleza wajibu wako .
Walimu fanyeni mkadirio Mzuri wa kazi yenu
Sungura amfukuze mbwa
Viongozi wengi sana nchi hii wana uwezo mdogo sana tena sana wa kufanya reasoning ,
 
Back
Top Bottom