Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika Tulia wawaomba Machifu wawaloge wanaopinga Mkataba wa Bandari

Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika Tulia wawaomba Machifu wawaloge wanaopinga Mkataba wa Bandari

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARIšŸ˜‚šŸ¤£



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai
 
Chifu Rocket Mwashinga naye akazia viongozi waungwe mkono mkataba wa bandari



Viongozi wetu wanaofanya kazi wasikashifiwe awaomba machifu wenzie wote wa hapahapa Mbeya wasikubaliane na hilo

Hapahapa mjini Mbeya vijana wetu wanadiriki hata kufungua kesi ya kihistoria ya katiba kuipinga serikali kwa kazi ya bandari, hivi wanaMbeya tutaeleweka kweli ?! anahoji Chifu Rocket Mwashinga


Chifu anasimulia uzoefu wake pale bandarini Dar es Salaam pana wizi mkubwa, nimefanya kazi pale miaka 8 bandarini Dar es Salaam niliona hata kitu kikubwa kama container eti linapotea kama vile ni kitu cha kubeba mkononi kimepita getini bila kuonekana !

Sisi wanaMbeya, viongozi wa mkoa na wilaya pia wa chama tutaeleweka vipi ikiwa serikali ambayo ndiyo rais mwenyewe anashitakiwa hapa hapa mahakamani mjini Mbeya anahoji Chifu Rocket.

Anaongeza na kuonesha hofu kuwa hatua hiyo inaweza kukwamisha serikali kuleta maendeleo yaliyoanza kufanyika hapa Mbeya anahitimisha hotuba yake kiongozi huyo wa kijadi.

Ikumbukwe kuwa sasa machifu ushawishi wao umeongezeka baada ya machifu wote wa kijadi Tanzania kuwa karibu na serikali kupitia makongamano ya kitaifa ya machifu wa jadi ambayo hufanyika kila mwaka.

Hivi karibuni mheshimiwa rais Samia Hassan alisimikwa kuwa Chifu wa Machifu wote na kupewa jina rasmi la kijadi na UMT Umoja wa Machifu Tanzania

1689432551230.png

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisimikwa kuwa Chifu Mkuu wa Machifu wote Tanzania na kuitwa Chifu Hangaya katika hafla ya kilele cha Tamasha la Utamaduni, lililofanyika leo kwenye viwanja vya Redcross, Kisesa jijini Mwanza
 
HAPANA uganga Wala uchawi juu ya Israeli.

Wakitulaani, Tunabarikiwa,

Wakitubariki, Tunabarikiwa.

Tanzania ni Nchi ya AGANO, imerudi mikononi mwa Kanisa.

Masonry wamenyanganywa mamlaka juu ya nchi, ndomana Kila jaribio wanalofanya kutekeleza tukio kututoa ktk mjadala linafail.

Mungu ibariki Nyikani,

Mungu ibariki TANZANIA,

Amen.
 
Dr Tulia, huu ni wazimu sasa.

Kufanya hivo ni sawa na kupingana na kazi ya mungu, alietuumba tofauti tofauti kwenye kila kitu; Ametuumba tofauti kifikra, kiakili, kimawazo, kimatamanio, kimaumbile, Kikabila, Kimataifa.

Huwezi kulazimisha watanzania wote wafikiri kama wewe, wakubaliane kila kitu na wewe, wawe na akili au ujinga kama wewe, wawe walozi kama wewe, na waendane kila kitu kama unavyotaka wewe!!! Mungu ndio alieumba tofauti zetu!!!

Mungu ajaalie huo ulozi unaotaka wafanyiwe watu wasio na hatia, kisa kukinzana na mawazo/fikra zako, ukurudie wewe mwenyewe!
 
Chifu Rocket Mwashinga naye akazia viongozi waungwe mkono



Viongozi wetu wanaofanya kazi wasikashifiwe awaomba machifu wenzie wote wa hapahapa Mbeya wasikubaliane na hilo

Hapahapa mjini Mbeya wanafungua kesi kuipinga serikali kwa kazi ya bandari, hivi wanaMbeya tutaeleweka kweli anahoji Chifu Rocket Mwashinga


Pale bandarini pana wizi mkubwa nimefanya kazi pale miaka 8 bandarini Dar es Salaam niliona hata kitu kikubwa kama konteina eti linapotea kama vile ni kitu cha kubeba mkononi

Sisi wanaMbeya, viongozi wa mkoa na wilaya tutaeleweka vipi ikiwa serikali ambayo ndiyo rais mwenyewe anashitakiwa hapa mahakamani mjini Mbeya anahoji Chifu Rocket na kuonesha kuwa hatua hiyo inaweza kukwamisha serikali kuleta maendeleo yaliyoanza kufanyika hapa Mbeya anahitimisha hotuba yake kiongozi huyo wa kijadi.

Chifu njaa
 
Heeee kumbe machifu walozi??!!! Haaa huwa tunatafuta wanaochuna watu ngozi kumbe wanajulikana!! Ole wenu machifu afe mmoja hata kama siku zake zimeisha mtawajibika nyie!
Badala ya kuroga tupate Katiba mpya,wao wanaomba ulozi kwenye viti vya maana kwao na watoto wao

Kenge kweli hawa machifu
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI[emoji23][emoji1787]



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai
Uchawi ni miongoni mwa nguzo za Chama chakavu
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARIšŸ˜‚šŸ¤£



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Kama ni kwel sishangai maan wanaopinga ile kitu ni maadui ni vile wanakosa namna ya kufanya cz ni kundi kubwa san la wanaopinga.
 
Back
Top Bottom