Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika Tulia wawaomba Machifu wawaloge wanaopinga Mkataba wa Bandari

Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika Tulia wawaomba Machifu wawaloge wanaopinga Mkataba wa Bandari

Chifu Rocket Mwashinga naye akazia viongozi waungwe mkono mkataba wa bandari



Viongozi wetu wanaofanya kazi wasikashifiwe awaomba machifu wenzie wote wa hapahapa Mbeya wasikubaliane na hilo

Hapahapa mjini Mbeya vijana wetu wanadiriki hata kufungua kesi ya kihistoria ya katiba kuipinga serikali kwa kazi ya bandari, hivi wanaMbeya tutaeleweka kweli ?! anahoji Chifu Rocket Mwashinga


Chifu anasimulia uzoefu wake pale bandarini Dar es Salaam pana wizi mkubwa, nimefanya kazi pale miaka 8 bandarini Dar es Salaam niliona hata kitu kikubwa kama container eti linapotea kama vile ni kitu cha kubeba mkononi kimepita getini bila kuonekana !

Sisi wanaMbeya, viongozi wa mkoa na wilaya pia wa chama tutaeleweka vipi ikiwa serikali ambayo ndiyo rais mwenyewe anashitakiwa hapa hapa mahakamani mjini Mbeya anahoji Chifu Rocket.

Anaongeza na kuonesha hofu kuwa hatua hiyo inaweza kukwamisha serikali kuleta maendeleo yaliyoanza kufanyika hapa Mbeya anahitimisha hotuba yake kiongozi huyo wa kijadi.

Ikumbukwe kuwa sasa machifu ushawishi wao umeongezeka baada ya machifu wote wa kijadi Tanzania kuwa karibu na serikali kupitia makongamano ya kitaifa ya machifu wa jadi ambayo hufanyika kila mwaka.

Hivi karibuni mheshimiwa rais Samia Hassan alisimikwa kuwa Chifu wa Machifu wote na kupewa jina rasmi la kijadi na UMT Umoja wa Machifu Tanzania

View attachment 2689071
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisimikwa kuwa Chifu Mkuu wa Machifu wote Tanzania na kuitwa Chifu Hangaya katika hafla ya kilele cha Tamasha la Utamaduni, lililofanyika leo kwenye viwanja vya Redcross, Kisesa jijini Mwanza

Karne hii kuna mtu bado anaamini hao washirikina? Labda wanawake wanaotafuta mabwana, au watu wanaosaka utajiri wa ushirikina. Hao machifu uchwara wabaki kutoa matambiko kwenye mwenge wa uhuru, maana ule nao ni ushirikina wa wazi. Kama hao machifu wana ushawishi basi ni kwa ccm, maana huko CCM ushirikina ni sehemu ya sifa zao kuu.
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI😂🤣



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Ccm imegeukia kwa viongozi wa kimila ili kutafuta nini ?
 
Mambo ya free lunch toka kwa Jiwe yalimmaliza.
Huwezi kutoa chiu upewe upendeleo ukabaki salama.

Na hizi imani zetu ukiyumba tu unakuwa mbaya kuliko wachawi.
Ukristo wa kweli ukiuacha unakuwa kituko kuliko hata walevi sijui kwanini.

Tulia alikuwa Mkristo safi lakini aiku hizi ni mbovu sana sana.

Na dhambi aliyomfanyia mmewe enzi za Jiwe haitanwacha salama
Character assassination sio nzuri, mkosoe ila usimzushie uongo.
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI😂🤣



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Najuta kumuunga mkono tulia achaguliwe kama speaker. Kumbe ni bongo la mpinga maendeleo 'reactionary' na mchumia tumbo tu. Anaringia cheti cha Phd tu hana weledi.
 
Tuna safari ndefu sana kama taifa aisee!
Maisha ya Tanzania yanahitaji tafakari ya namna yake.
Ole kwa kizazi kinachokuja!
 
Mbeya, Tanzania

Stephen Masato Wasira - AFOKA KWA UKALI, ''WAKOME, ACHENI KUWASIKILIZA WAROPOKAJI''...



Kada na kiongozi ktk serikali kadhaa za kuanzia awamu ya Julius Nyerere hadi ya Jakaya Kikwete akiwa jukwaani viwanja vya Luanda Nzovwe mjini Mbeya akitetea alichoita makubaliano na nchi ya Dubai kuhusu bandari akisema siyo kitu cha ajabu kwani kumbukumbu zinaonesha huko nyuma ....
 
Chifu Rocket Mwashinga naye akazia viongozi waungwe mkono mkataba wa bandari



Viongozi wetu wanaofanya kazi wasikashifiwe awaomba machifu wenzie wote wa hapahapa Mbeya wasikubaliane na hilo

Hapahapa mjini Mbeya vijana wetu wanadiriki hata kufungua kesi ya kihistoria ya katiba kuipinga serikali kwa kazi ya bandari, hivi wanaMbeya tutaeleweka kweli ?! anahoji Chifu Rocket Mwashinga


Chifu anasimulia uzoefu wake pale bandarini Dar es Salaam pana wizi mkubwa, nimefanya kazi pale miaka 8 bandarini Dar es Salaam niliona hata kitu kikubwa kama container eti linapotea kama vile ni kitu cha kubeba mkononi kimepita getini bila kuonekana !

Sisi wanaMbeya, viongozi wa mkoa na wilaya pia wa chama tutaeleweka vipi ikiwa serikali ambayo ndiyo rais mwenyewe anashitakiwa hapa hapa mahakamani mjini Mbeya anahoji Chifu Rocket.

Anaongeza na kuonesha hofu kuwa hatua hiyo inaweza kukwamisha serikali kuleta maendeleo yaliyoanza kufanyika hapa Mbeya anahitimisha hotuba yake kiongozi huyo wa kijadi.

Ikumbukwe kuwa sasa machifu ushawishi wao umeongezeka baada ya machifu wote wa kijadi Tanzania kuwa karibu na serikali kupitia makongamano ya kitaifa ya machifu wa jadi ambayo hufanyika kila mwaka.

Hivi karibuni mheshimiwa rais Samia Hassan alisimikwa kuwa Chifu wa Machifu wote na kupewa jina rasmi la kijadi na UMT Umoja wa Machifu Tanzania

View attachment 2689071
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisimikwa kuwa Chifu Mkuu wa Machifu wote Tanzania na kuitwa Chifu Hangaya katika hafla ya kilele cha Tamasha la Utamaduni, lililofanyika leo kwenye viwanja vya Redcross, Kisesa jijini Mwanza
Ngombe
 
Chifu Rocket Mwashinga naye akazia viongozi waungwe mkono mkataba wa bandari



Viongozi wetu wanaofanya kazi wasikashifiwe awaomba machifu wenzie wote wa hapahapa Mbeya wasikubaliane na hilo

Hapahapa mjini Mbeya vijana wetu wanadiriki hata kufungua kesi ya kihistoria ya katiba kuipinga serikali kwa kazi ya bandari, hivi wanaMbeya tutaeleweka kweli ?! anahoji Chifu Rocket Mwashinga


Chifu anasimulia uzoefu wake pale bandarini Dar es Salaam pana wizi mkubwa, nimefanya kazi pale miaka 8 bandarini Dar es Salaam niliona hata kitu kikubwa kama container eti linapotea kama vile ni kitu cha kubeba mkononi kimepita getini bila kuonekana !

Sisi wanaMbeya, viongozi wa mkoa na wilaya pia wa chama tutaeleweka vipi ikiwa serikali ambayo ndiyo rais mwenyewe anashitakiwa hapa hapa mahakamani mjini Mbeya anahoji Chifu Rocket.

Anaongeza na kuonesha hofu kuwa hatua hiyo inaweza kukwamisha serikali kuleta maendeleo yaliyoanza kufanyika hapa Mbeya anahitimisha hotuba yake kiongozi huyo wa kijadi.

Ikumbukwe kuwa sasa machifu ushawishi wao umeongezeka baada ya machifu wote wa kijadi Tanzania kuwa karibu na serikali kupitia makongamano ya kitaifa ya machifu wa jadi ambayo hufanyika kila mwaka.

Hivi karibuni mheshimiwa rais Samia Hassan alisimikwa kuwa Chifu wa Machifu wote na kupewa jina rasmi la kijadi na UMT Umoja wa Machifu Tanzania

View attachment 2689071
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisimikwa kuwa Chifu Mkuu wa Machifu wote Tanzania na kuitwa Chifu Hangaya katika hafla ya kilele cha Tamasha la Utamaduni, lililofanyika leo kwenye viwanja vya Redcross, Kisesa jijini Mwanza

Huu ndiyo uwendawazimu wa hali ya juu. Yaani wanataka kusema kuwa CCM ni chama cha wachawi? Ndiyo maana nchi inakosa baraka.

Mungu ni mkuu kuliko shetani. Tumwombe Mungu aoneshe ukuu wake dhidi ya wachawi wote. Mungu aliyemteketeza farao na wachawi wake, na jeshi lake, tunamwomba awaangamize pia wachawi wa CCM.
 
Tulia alikuwaga mu Assembly of God sijui walimkwaza nini hadi siku Hizi anapendelea mambo ya Kienyeji!
Usiseme sahizi Tulia anapendelea mambo ya kienyeji, sema anapendelea mambo ya kichawi.
 
Dr Tulia, huu ni wazimu sasa.

Kufanya hivo ni sawa na kupingana na kazi ya mungu, alietuumba tofauti tofauti kwenye kila kitu; Ametuumba tofauti kifikra, kiakili, kimawazo, kimatamanio, kimaumbile, Kikabila, Kimataifa.

Huwezi kulazimisha watanzania wote wafikiri kama wewe, wakubaliane kila kitu na wewe, wawe na akili au ujinga kama wewe, wawe walozi kama wewe, na waendane kila kitu kama unavyotaka wewe!!! Mungu ndio alieumba tofauti zetu!!!

Mungu ajaalie huo ulozi unaotaka wafanyiwe watu wasio na hatia, kisa kukinzana na mawazo/fikra zako, ukurudie wewe mwenyewe!
Amina. Na ikawe hivyo.

Na kila aina ya uovu wapangao dhidi ya wasio na hatia, Mungu wetu, tunaomba, ubaya huo huo ukawarudie wao wenyewe hata mara kumi zaidi.
 
UVCCM kuandamana nchi nzima kuunga mkono serikali, pia wamtaka msajili wa vyama vya siasa kuchukua hatua stahiki



Hayo yamefahamika wakati mwenyekiti wa UVCCM kada Mohamed Kawaida alipokuwa anaongea na viongozi wa UVCCM na kutangaza azma ya kuandamana kila kona ya nchi kuunga mkono alichoita makubaliano ya serikali ya Tanzania na Dubai kuhusu bandari ....

UVCCM wataanza maandamano yao mkoani Dar es Salaam hapo tarehe 18 Julai 2023 amesema Mohamed Kawaida mwenyekiti wa UVCCM taifa na kisha kuendelea kuandamana katika mikoa mingine kuunga mkono hatua za serikali kuhusu bandari ...
 
TOKA MAKTABA :
2018 15 February

Tujikumbushe sala ya wanaCCM kukemea mapepo ya CHADEMA iliyoongozwa na mchungaji mama Dr. Gertrude Pangalile Rwakatare mbunge wa CCM ambapo wanaCCM waliazimia roho ya upinzani iteketee na moto

 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI[emoji23][emoji1787]



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai
Hii nchi imevuruga haswaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wanakoelekea watakuwa vifaa,,Shida ya madaraka ya kubambikiwa hii.
 
Back
Top Bottom