Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika Tulia wawaomba Machifu wawaloge wanaopinga Mkataba wa Bandari

Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika Tulia wawaomba Machifu wawaloge wanaopinga Mkataba wa Bandari

CCM wawa mbogo Mbeya, waomba msaada machifu waingilie kati



Mzee wa CCM Rungwe anasema yeye ni mjukuu wa hiyari wa aliyekuwa chifu Mwakatumbula kwa kuwa babu yake alikuwa mwandishi wa chifu Mwakatumbula lakini bahati mbaya hakukabidhiwa mikoba ama sivyo asingekuwa analalamika jukwaani, mambo yangekuwa mengine hivyo anaomba msaada wa wazee wa jadi na machifu waingilie kati suala la Spika kuchagizwa ajiuzulu kufuatia sakata la bandari kupewa milele ...
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI😂🤣



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Brainless
 
CCM wawa mbogo Mbeya, waomba msaada machifu waingilie kati



Mzee wa CCM Rungwe anasema yeye ni mjukuu wa hiyari wa aliyekuwa chifu Mwakatumbula kwa kuwa babu yake alikuwa mwandishi wa chifu Mwakatumbula lakini bahati mbaya hakukabidhiwa mikoba ama sivyo asingekuwa analalamika jukwaani, mambo yangekuwa mengine hivyo anaomba msaada wa wazee wa jadi na machifu waingilie kati suala la Spika kuchagizwa ajiuzulu kufuatia sakata la bandari kupewa milele ...

Hiyo bandari siyo ya machifu
 
July 2023
Mbeya, Tanzania


Spika Tulia naye atoa somo kuhusu treaties na agreements kwa wanaCCM Mbeya



Akiongea katika mkutano uliosheheni viongozi wa CCM kutoka pande zote za nchi akiwemo mzee Stephen Masato Wasira , Makongoro Nyerere, ma-MNEC wa CCM kama Jerry William Slaa, Richard Atufigwege
Kasesela, mh. prof. Kitila Mkumbo waziri wa Uwekezaji / Mipango, mh. injinia Maryprisca Mahundi naibu waziri maji, mh. David Silinde naibu waziri wa Utumishi na Utawala Bora na Mh. Atupele F. Mwakibete naibu waziri wa uchukuzi n.k

Spika wa Bunge Mh. Tulia asisitiza wale wote wanaopinga mkataba wa bandari 'wamevurugwa' ...

Mheshimiwa spika Tulia Ackson akiongea kwa hisia kali kuliko mbele ya mamia ya wanaCCM wa Mbeya waliojitokeza leo 15 July 2023 viwanja vya Luanda Nzovwe Mbeya kutetea alichoita makubaliano na nchi ya Dubai kuhusu bandari



CHONGOLO ATINGA MBEYA, KUWEKA BAYANA MAMBO YA BANDARI​



Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Songwe jijini Mbeya, tayari kwa mkutano mkubwa wa hadhara kwenye Uwanja wa Luanda, Jijini humo, ambapo pamoja na mambo mengine ataelezea usahihi wa makubaliano ya uendeshaji wa bandari.

Katibu mkuu wa CCM na ujumbe wake mzito wa viongozi wa chama na serikali, uwanja wa Ndege amelakiwa na viongozi mbalimbali wa chama na serikali wa mikoa jirani pamoja na Spika wa Bunge, Tulia Ackson ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini.

Mkutano huo utahudhuriwa pia na baadhi ya wananchi kutoka mikoa ya Iringa, Njombe, Songwe na Rukwa
Source : ccmchama.blogspot.com
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI😂🤣



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Na waganga wataangalia upande wenye pesa.
 

SAKATA LA BANDARI, NGUVU ZA ZIADA ZATUMIKA NA DOLA

SAKATA LA BANDARI : Hizi ni Rasharasha, Tunakwenda Kuketa Mafuriko " Mwabukusi baada ya kuhojiwa kituo cha Polisi
1689436107936.png

Tarehe 20 July 2023 kesi ya wananchi ya kutaka tafsiri ya mkataba wa bandari itasikilizwa katika mahakama kuu ya mjini Mbeya.
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI😂🤣



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Huyu Spika yuko kama kindege joni, yeye na Homera wanajipendekeza sana kwa rais
 
Poor Tulia, nilikuwa na matumaini nae lakini naona pale ni akili za darasani tu. Huku kwingine zero kabisa.
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI😂🤣



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Hawa Machifu wana elimu gani?
 
Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo kwenye Uwanja wa Luanda, Nzovwe Mbeya


Komredi Chongolo ambapo pamoja na mambo mengine ameelezea usahihi wa
makubaliano ya uendeshaji wa bandari uliofanywa na serikali
 
Tulia alikuwaga mu Assembly of God sijui walimkwaza nini hadi siku Hizi anapendelea mambo ya Kienyeji!
Mambo ya free lunch toka kwa Jiwe yalimmaliza.
Huwezi kutoa chiu upewe upendeleo ukabaki salama.

Na hizi imani zetu ukiyumba tu unakuwa mbaya kuliko wachawi.
Ukristo wa kweli ukiuacha unakuwa kituko kuliko hata walevi sijui kwanini.

Tulia alikuwa Mkristo safi lakini aiku hizi ni mbovu sana sana.

Na dhambi aliyomfanyia mmewe enzi za Jiwe haitanwacha salama
 
Chama dola kongwe CCM pamoja na rasilimali zote za dola wanazotumia bure lakini haitoshi, hawajiamini na sasa wanataka nguvu ya ziada za madogoli za machifu.

Kuna machapisho yaliyo hifadhiwa katika intaneti juu ya chama cha MPR cha rais Mobutu Sese Seko kutumia nguvu za kijadi :

Wimbo wa kizalendo kidumu chama cha MPR cha Congo (Zaire) na papa Mobutu Sese Seko :
Whoever is Thinking That MPR PARTY will die is a liar, stay calm papa marechal Mobutu Sese Seko
lokuta monene ... those who think that MPR will die are wrong.The party will stay for ever..

Chicago Tribune
https://www.chicagotribune.com › c...
ZAIRE'S MASTER OF CHARM, CORRUPTION IS ...

18 May 1997 — A shrewd politician, Mobutu was a master of charm, manipulation and the game of divide and conquer. He also was .....
 
Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika TULIA Wawaomba MACHIFU WAWALOGE wanaopinga MKATABA WA BANDARI😂🤣



Mkuu wa mkoa akiongea zilisikika sauti za wanaCCM wakidai walogwe wale wanaopinga mkataba na ikabidi mkuu wa mkoa akubali rai ya wanaCCM kuwa wanaopinga basi machifu wafanye yao kama wanaCCM walivyodai

Hakuna chifu mjinga wa kufanya ujinga huo! Hooligans
 
Tulia alikuwaga mu Assembly of God sijui walimkwaza nini hadi siku Hizi anapendelea mambo ya Kienyeji!
Bado ni Mu-assemblies of God.
Sijui wakiingia kwenye siasa wanakuaje.Kuna namna wanabadilika sana nahisi siasa na ucha Mungu kwetu ni mafuta na maji labda 😀😀
 
Bado ni Mu-assemblies of God.
Sijui wakiingia kwenye siasa wanakuaje.Kuna namna wanabadilika sana nahisi siasa na ucha Mungu kwetu ni mafuta na maji labda 😀😀
Ulimbukeni, kushindwa kubalansi mambo tu
 
Back
Top Bottom