Mkuu wa Mkoa Mbeya na Spika Tulia wawaomba Machifu wawaloge wanaopinga Mkataba wa Bandari

🤣🤣🤣Sasa hapa mbeya na rukwa tumekubaliana Kati ya mwabukusi,tulia,nshala,pengo ,mizengo pinda,mzee wa upako na tulia 🙏baada ya ulozi mmoja aondoke,na tambiko limefanyika pale nakonde,penye jiwe la mpaka🙏🙏🙏
 
Masache Kasaka - Wananchi Tuiamini serikali yetu ya CCM katika mkataba wa bandari

 
19 July 2023
Mbeya, Tanzania

China wa China awavaa vikali CCM kuhusu mkataba wa bandari, awabana Tulia na Silinde warudi tena jukwaani Mbeya na mkataba mkononi

Wana Mbeya wana maswali mengi ya kuwahoji wabunge wote wa CCM Mbeya kuhusu mkataba....

WanaMbeya wanasema bandari ni mali yao pia urithi wa vizazi vijavyo haiwezekani kuuzwa kimya kimya.... maoni ya wananchi kupuzwa na CCM hayakubaliki ..

Pia Joseph Mwasote ‘China wa China’ amewakumbusha kuwa kesho kesi ya wananchi ipo mahakama kuu.
Source : Big Star TV
 
Huyu bwana moyo wake umebeba mambo mengi, ila naona achanganya mambo mengi kichwani kwa wakati mmoja

Anasema mwanae aliuliwa , na yupo aliemtakia kwamba amemua kweli ili apate cheo , je kijana wake alikua nani ,? na alifanya nini mpaka kuuwawa, kifo chake kilitokea wapi?

Huyu namfaham kama mwimbaji wa nyimbo za injili, ( kikosi kazi) na kweli alikua mfuasi wa Mwendazake maana upo mpaka wimbo aliimba juu ya mwendazake you tube upo

Lakin anasema alifuata Tulia mara kadhaa kabla ya mwanae uwawa, ila bado anasisitiza na kulaum Sana Mkurugenzi wa Taifa , hii imekaa vipi ,

Mwenye kuelewa hili basi atutupie mnofu kidogo tujue
All in all anamachungu sana
 
watashidwa tu, hatuwezi kukubali watu wachache wauze maliasili ya Tanganyika kwa manufaa yao na familia zao.
 
machifu wa mchongo.
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Mungu awasamehe tu kwa kuwa hawajui watendalo. Kwa kifupi tu ni watu wa kuonewa huruma kwa sababu wapo dunia nyingine kabisa tofauti na dunia ya sasa ya teknolojia wao wapo zama za kati za mawe.

Na watanzania wakikubali kuendelea kuongozwa na viongozi wenye upeo kama mkuu wa mkoa wa Mbeya basi tutarajie mambo mengine ya hovyo zaidi ya haya tuayoyaona sasa.
 
20 July 2023
Mbeya, Tanzania

Mwabukusi - Tumeridhika Na Maamuzi ya Jopo la Majaji wa Mahakama Kuu Kuwa Kesi ya Mkataba wa Bandari Ni Jambo La Kusikilizwa Bila Kupoteza Muda

 
28 Julai 2023
Mbeya, Tanzania

Chifu Prince Mwaihojo Mwambipile - " Wezi Wote Wamehamia CCM


Chifu huyo maarufu aliyekuwa mwanachama wa CCM iliyokuwa TANU ya miiko ya Kusema Kweli Daima, Fitina Mwiki na haki kwa wote akumbuka mazuri ya TANU ambayo sasa yametelekezwa na CCM ya kisasa.

Chifu Chris Mwambipile akiomba chama kongwe dola cha CCM kuacha kutumia vyombo vya dola kama Polisi maana huko ni kutengeneza uhasama na watoto wao ambao wengine ni mapolisi kuwabugudhi watoto wengine ambao wanatetea bandari.

Kwani kwa mujibu wa uchifu ukiwa kiongozi wa jamii, watoto na vijana wote ni wanae chifu hivyo viongozi wa CCM ambao wanadhama ya uongozi wasiwasumbu vijana wote wa kiTanzania kwa kisa cha kupinga bandari kuuzwa.
 
Tunaomba hao Machifu wawaloge TARI na wote wanaotaka kunyanganya wananchi eneo lap.
 
Dr nshala lazima asikitike mwanafunzi wake huyo
Mtu akishakuwa mwanasiasa hofu ya Mungu inaisha na shetani anamtumia vizuri,ila mwisho wao hauwi mzuri kwa sababu ya laana na machozi ya watu. Nikiambiwa nimshauri mtu,siasa siyo carieer nzuri yenye mwisho mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…