Mkuu wa mkoa Paul Makonda, na sisi wakazi wa Mpigi Magoe tunaomba utukumbuke, barabara yetu ni mbaya haswa

Sio huko tuu kuna siku moja nilipita hii njia ya kimara matosa kuelekea goba barabara nne ni short cut nfupi ila kama sio gari kuwa nzima kidogo siku hiyo lingenilaza njiani
 
Kaandike instagram mkuu kule ndiko anakopokea maagizo na kutoa maagizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…