Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua

Watoto wanamjua Amba Ruthy Zaidi Kumzidi Jokate Mkuu wa Wilaya
 
Kuna watu wanafanya uovu mkubwa kuliko wa Amber Rutty na hawajahi kuomba msamaha ila wapo bungeni wengine madhabahuni mnaona fresh tu , uyu binti aliomba msamaha alijutia na akatumikia adhabu yake hatuwezi kuendelea kumhukumu milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…