Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii inawakumbatia sana watu wa ovyoovyoHii nchi hii iko shaghalabaghala ,sasa huyo Umberruti ni kioo Cha jamii au ni uchafu kwenye jamii!?? Mtu pics zake za uchi zimevuja tena akifanya mambo ya kifedhui alafu ndio walimu wanampeleka kwa wanafunzi Ili awe role model wao kweli!? Kuna tatizo kwenye hii nchi sio bure.
Watu wa hovyo hovyo ndio wanaonekana wa maana kwenye hii nchi, bado hatujapata kiongozi ambae yuko serious kupambana na maadui wa taifa umaskini, maradhi na ujinga.Nchi hii inawakumbatia sana watu wa ovyoovyo
Ova
Acha wenge wewe unaona makosa wenzio yako huyaoni ya kutuletea majungu yako hapaNi aibu. Mwalimu huyu naye bila hata akili anaonekana kushadadia uwepo wa Msanii huyu mwenye Sifa mbaya ya kusambaza Video yake ya Ngono Kinyume na Maumbile.
Inasikitisha sana. Na hata ukimwona vazi alilovaa msanii huyu ni la aibu. Anasimamishwa mbele ya wanafunzi wamwangalie alivyo kama ni model wao.
Kwa tukio hili tu ni haki walimu kumwagiwa mchanga,kurushiwa mayai viza n.k ni shule ya kipuuzi sana. Wazazi wanapaswa wakutane na mkuu wa shule hii. Ni jambo la aibu mtu huyu kuwa ni model wa wanafunzi hawa.
Mkuu wa Mkoa angalia matatizo mawili ya shule hii.
1. Tatizo la kukosa fensi
2. Tatizo la kumwalika ambaruti
View attachment 1909206
Kha!!!,Kumbe???Ambaruti ana mtoto pale ni mzazi