Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua

Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua

Je angealikwa Mia Khalifa kuwa mgeni rasmi ingekuwaje?

Sio kama nimefurahia bali kumwalika mtu ambaye alichokifanya kama kioo cha jamii hakifai hata kuwa kigezo chema hafai hata kualikwa mbele ya watoto ambao mawazo yao ni kigezo chema! Kwahili Serikali ichukue hatua.

Lakini pia BASATA nao kwa upande wao watunge sheria kali ambazo zitawabana wasanii kujihusisha na shughuli za kijamii kwa wale ambao matendo yao hayafai hata kuwa kigezo chema mbele ya jamii.

I'm out!
Hahah wewe jamaa acha kumfananisha Mia Khalifa na vitu vya ajabu unatukosea fans wake na chama cha chaputa
 
Shida hapo ni vazi tu alilovaa halipendezi na halifai hayo mazingira.....
Mengine atajua yeye mwenyewe na aliemuumba.
 
Ni aibu. Mwalimu huyu naye bila hata akili anaonekana kushadadia uwepo wa Msanii huyu mwenye Sifa mbaya ya kusambaza Video yake ya Ngono Kinyume na Maumbile.

Inasikitisha sana. Na hata ukimwona vazi alilovaa msanii huyu ni la aibu. Anasimamishwa mbele ya wanafunzi wamwangalie alivyo kama ni model wao.

Kwa tukio hili tu ni haki walimu kumwagiwa mchanga,kurushiwa mayai viza n.k ni shule ya kipuuzi sana. Wazazi wanapaswa wakutane na mkuu wa shule hii. Ni jambo la aibu mtu huyu kuwa ni model wa wanafunzi hawa.

Mkuu wa Mkoa angalia matatizo mawili ya shule hii.

1. Tatizo la kukosa fensi
2. Tatizo la kumwalika ambaruti

View attachment 1909206
ko mkuu wee kinachokuuma ni mfirwaji kupewa mualiko hapo shuleni. Unashangaa tu vile ujui yaliyomo nyuma ya pazia. Laiti kama madhambi ya watu yangekuwa yanawekwa hadharani, basi pengine hata huyo mkuu wa mkoa unayempelekea mashtaka hayo amber ruty asingemfikia kwa ufirauni hata tone.

kuna madhambi watu wanayatenda, kwa amber ruty bado ni malaika.
 
sio kuliwa kimasihara tuu, na kuliwa tako ka yeye.

Sasa mnamsomea mliwa tako risala ili awachangie. Mnajua hizo pesa kazipateje?

Hapo kunauwezekano wa hao wanafunzi kuungwa kwa mtandao wa waliwa tako, wakaanza kutifuliwa tope bure kwa kushawishiwa kwa vijisenti.
 
yani kila mnapomzungumzia amberruty ni kama mnanihamasisha kutifua tope na mnanifanya nidindishe.
 
Hapa ndipo CCM ilipotufikisha na kufurahia tuendelee kubakia.
Bila kuiondoa CCM madarakani huu ujinga hautaisha milele.
 
tatizo sio kualikwa.

Tatizo anawafundisha nini wanafunzi?
 
Kuna binadamu tuliishajipa utakatifu wa kudumu, kwa kuwasonta wengine kama wenye dhambi zisizosameheka.
 
Back
Top Bottom