Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Km nakuelewa hivi??!!.Binadamu yupi ambaye hajawahi kukosea??
Yaani mnataka Ambaruti asishiriki chochote katika jamii??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km nakuelewa hivi??!!.Binadamu yupi ambaye hajawahi kukosea??
Yaani mnataka Ambaruti asishiriki chochote katika jamii??
Sio wasanii mtu yeyote maarufu tz anaonekana ni kioo cha jamii.Nchi hii ya ajabu sana
Mambo yanafanyika ajabajab
Wasani wanaonekana kioo cha jamii eti
Ova
Wewe ni msafi kiasi gani? Au kwa vile uchafu wako unaufanyia gizani na hujaonekana basi walio onekana unawaona wachafu zaidi? Usihukumu usije ukahukumiwa. Yesus voice.Na hao ndio tunawategemea watufundishie watoto wetu,pumbavu kabisa
Hata asipotoa. Angalau ana hamasisha watu wachangie. Kitu ambacho ni zaidi ya unachofanya wewe.Umeona ambaruti anatoa fedha?😁😁😁😁
Mama Samia angewapigia simu hao wasanii (kina Amber) mngemhoji?Kama ni kweli basi mwalimu ahojiwe kwanini kafanya hivyo.
Usihukumu ili usije ukahukumiwa. Unayoyafanya gizani kuna mtu amewahi kukuonyeshea kidole. ???
Mahakama za kadhi ni mahakama za uonevu. Hazitakiwi ziwepo kwa nchi yoyote zenye watu wenye akili.hivi ile mahakama ya kadhi inaanza lini kutoa hukumu zake hapa nchini?
ok sawa tumekuelewa,njoo nikushike takoHakuna tatizo lolote hapo, acheni ujinga na ushamba, dunia imebadilika na sisi tubadilike kulingana na matakwa ya kidunia.
Just imagine kitoto chako kinapga picha ya pongezi au kinapewq cheti cha kumaliza nursery school na umber rutiHakuna tatizo lolote hapo, acheni ujinga na ushamba, dunia imebadilika na sisi tubadilike kulingana na matakwa ya kidunia.
Binadamu!!!Just imagine kitoto chako kinapga picha ya pongezi au kinapewq cheti cha kumaliza nursery school na umber ruti
Hapo ndio penye tatizo. Mavazi hayakuwa ya heshima.Amber Ruty angevaa nguo tofauti na hiyo legging angalau.
Adi apigwe marufuku etUonevu kwani amber ana tatizo gani maana hajapigwa marufuku kuhusika na shughuli za kuisaidia jamii
Kama ni shule ya mwanae, mtoto afukuzwe?Role Model wa kwanza wa Mwanafunzi ni Mwalimu wake, sasa kama Mwalimu ana_koneksheni na watu wa hovyo, wanaoingiliwa kinyume na maumbile na jamii inajua, unapomualika shuleni tena kwa kuwakusanya wanafunzi wamsikilize inamaanisha nini? Una-sapoti tabia za msanii husika? Kuna kitu umekiona wanafunzi watajifunza toka kwake?
Napata mashaka juu ya uwezo wa kufikiri wa Mkuu wa hiyo shule, kimaadili na kinidhamu haijakaa poa.
Nashauri Afisa Elimu amvue madaraka mara moja.
Ni sawa,ange_solve shida ilompeleka akasepa na sio kupewa jukwaa la kuzungumza/kutambulishwa kwa wanafunzi,Mwalimu Mkuu kachemka hapo...Kama ni shule ya mwanae, mtoto afukuzwe?
Acha ujinga we punguaniInasikitisha sana, lakini tuendako mambo ya Sex education na kuwaalika Porn Stars Mashuleni litakuwa jambo la kawaida kama huko ughaibuni.