Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua

Hakuna tatizo lolote hapo, acheni ujinga na ushamba, dunia imebadilika na sisi tubadilike kulingana na matakwa ya kidunia.
Identity yake kubwa hapo ni ile inshu ya kwa mpalange,nadhani aliwasisimua watoto na baadhi ya walimu kuangalia video tena.
 
Anaambukiza maadili mabovu kwa watoto wakiangalia picha zake za uchi hata kama, ametubu dhambi zake lakini kwenye jamii picha zake zipo. Hata kitumbua kiko waziwazi uzungunization.

 
Mnampinga amber ruty vipi kuhusu Dc Msando na ile video yake na Gigy mapesa
 
Kwani si alishatumikia kifungo Jamani na kashajirekebisha?
 
Binadamu yupi ambaye hajawahi kukosea??

Yaani mnataka Ambaruti asishiriki chochote katika jamii??
Mbona kashashiriki ile mechi kombe uwanjani. Ila aisee Kuna binadamu Wana mambo yaani harufu ya kujamba tu vile Sasa kuyachimba kabisa Hali inakuaje?
 
Watu wengine wanakomenti hapa waonekane watakatifu, ila ndiyo mabingwa wa kutatuliwa/kutatua
 
Hahaa huyu ticha bwana, sidhan hata angemwambia amba rut kuchangia box moja la chaki kama angelipata! Au ticha anatichika kwa ruty

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Duh n amber ruty ,kazi ipo kubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona Msando amekula uDC wakati ana video akishika papuchi ya Gigymoney?
Walimu wako sawa kabisa,wanaiga mfano toka juu!
 
Naye binadamu, Masadukayo Mafarisayo nyie hamjawahi kukosea? Ni wema siku zote? Au mnataka auliwe?
 
Mbona Gwajima juzi kasema kwani warembo wana shida gani?

mbona msando ni Mkuu wa wilaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…