Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vipi!
Binafsi sijawahi kumsikia huyu mkuu wa mkoa wa Arusha akiongelea suala la machinga.
Ila mara kwa mara wamekuwa wakisikika wakuu wa mikoa wa Dar-es-salaam ndugu Amos Makalla na Mwanza.
Ila huyu wa Arusha amerelux kama mkoa hauna wamachinga kabisa.
Kwa waliopo Arusha na ambao wameshafika Arusha mtakuwa mashahidi mji wa kitalii ulivyogeuka kuwa kichaka, nikimaanisha vibanda vichafu vimeenea kila mahali mpaka sura ya mji wa Arusha umepotea.
Juzi mzungu mmoja aliporwa pochi maeneo ya France kona kisha vibaka wakapotelea kwenye hizo vibanda vya machimga nakutokomea kusikojulikana.
Huyu mkuu wa mkoa wa Arusha sijui hata anaitwa nani kwa majina, anaonekana ni mtu mdhahifu na muoga katika suala zima la kufanya maamuzi.
Amekaa ofisini machinga wamechafua mji umeharibika. Wafanyabiashara wakubwa wanaolipa kodi wanapungua kwasababu ya hawa machinga.
Aisee unamuogopa Gambo ndio amekuteua. Jiamini acha uoga.
#Viva# Amosa Makalla!
Binafsi sijawahi kumsikia huyu mkuu wa mkoa wa Arusha akiongelea suala la machinga.
Ila mara kwa mara wamekuwa wakisikika wakuu wa mikoa wa Dar-es-salaam ndugu Amos Makalla na Mwanza.
Ila huyu wa Arusha amerelux kama mkoa hauna wamachinga kabisa.
Kwa waliopo Arusha na ambao wameshafika Arusha mtakuwa mashahidi mji wa kitalii ulivyogeuka kuwa kichaka, nikimaanisha vibanda vichafu vimeenea kila mahali mpaka sura ya mji wa Arusha umepotea.
Juzi mzungu mmoja aliporwa pochi maeneo ya France kona kisha vibaka wakapotelea kwenye hizo vibanda vya machimga nakutokomea kusikojulikana.
Huyu mkuu wa mkoa wa Arusha sijui hata anaitwa nani kwa majina, anaonekana ni mtu mdhahifu na muoga katika suala zima la kufanya maamuzi.
Amekaa ofisini machinga wamechafua mji umeharibika. Wafanyabiashara wakubwa wanaolipa kodi wanapungua kwasababu ya hawa machinga.
Aisee unamuogopa Gambo ndio amekuteua. Jiamini acha uoga.
#Viva# Amosa Makalla!