Mkuu wa Mkoa wa California, Davin Newsom, atangaza mgao wa umeme

Mkuu wa Mkoa wa California, Davin Newsom, atangaza mgao wa umeme

Mkuu si kwamba wana uhaba bali kuna joto la kufa mtu huki California so wanalazimika kuzima mitambo kufua umeme wakihofia kwamba zile nyaya za kusafirisha umeme zinaweza sababisha moto wa nyika au Wild fire, sasa humu wale tunao shikiwa akili tunazani jamaa wamezidiwa na matumizi
California has approximately 80,000 MW of electric generation capacity installed across the state amongst more than 1,500 power plants utilizing a broad array of technologies. Total installed renewable generation capacity is 26,500 MW with almost 12,000 MW from solar and 6,000 MW from wind.
 
California wana Mega what 80,000 hatuwezi wafikia milele, Calfornia ina uchumi mkubwa kulikoa hata France au Uingereza kwa ulaya nazania wanakimbizana na Ujerumani.

Jamaaa wana janga la joto kari mno so wamezima mitambo ya kufua umeme wakihofia milipuko na hatimaye moto wa Polini
Tanzania imesambaza umeme vijijini
 
Haswa kwanza waelewe GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya nchi zote za Africa combined yaani bara zima la africa, pia wajue ina uchumi mkubwa kuliko France au Uingereza
Ungeeleza uzalishaji wa nishati ya umeme hapo California ni megawatt kiasi gani na kwa sasa baada ya mgao zitapatikana megawatt ngapi.kuitaja Ethiopia na Tanzania kama mfano wa nchi zinazopambana sawa na California kuzalisha umeme.ni kufananisha mlima na kichuguu.
 
Hawa ni wajinga tupu humu, Tatizo Joto lmezidi kiwango na wanalazimila kuzima mitambo isine lipuka, kuna joto la kutisha ambalo halijawahi tokea kwa karine nzima so wanazima mitambo ya kufua umeme
Mkuu wewe ni mgeni hapa JF? waleta mada wengi huwa wanabadili habari au kupindisha mada kwa sababu ya mahaba ya dini au siasa na nyingine wanazozijua wao, Sio wajinga ila wanafanya makusudi
 
blackout.jpg


90


planned-electricity-blackouts-california.jpg


Kutokana na mahitaji kuzidi uwezo wa ugavi, umeme utakuwa ukikatwa muda wowote kuanzia saa tisa alasiri mpaka tatu usiku kwa kupokezana baina ya viunga tofauti tofauti vya mkoa wa California, kwa mujibu wa Mheshimiwa Davin Newsom, Mkuu wa Mkoa.

Bwana Newsom ameziomba kampuni zenye mivyombo mizito ya umeme kama vile meli zilizoegeshwa bandarini kutumia nishati ya generator katika kipindi hiki kigumu kwa Wamarekani wa California.

Nchi mbalimbali duniani zikiwemo Ethiopia na Tanzania zimekuwa mstari wa mbele kufikiria mikakati mipya ya kuzindua vyanzo mbadala vya umeme wa ziada ili kukidhi mahitaji ya uchumi na idadi za watu zinazokua kwa kasi.
Yani wewe ni zaidi ya tahira,sasa kupotosha habari inakusaidia nini.yani mwanaume mzima mwenye umme umekaa kushabikia mwanaume mwenzio aliyetoka kwenye uke kama ww kwa kupotosha habari.pathetic!
 
Ungeeleza uzalishaji wa nishati ya umeme hapo California ni megawatt kiasi gani na kwa sasa baada ya mgao zitapatikana megawatt ngapi.kuitaja Ethiopia na Tanzania kama mfano wa nchi zinazopambana sawa na California kuzalisha umeme.ni kufananisha mlima na kichuguu.
Kula tano.
Nimeshangaa, TZ inahusishwaje na mambo ya California.
 
Mkuu si kwamba wana uhaba bali kuna joto la kufa mtu huki California so wanalazimika kuzima mitambo kufua umeme wakihofia kwamba zile nyaya za kusafirisha umeme zinaweza sababisha moto wa nyika au Wild fire, sasa humu wale tunao shikiwa akili tunazani jamaa wamezidiwa na matumizi
Hilo joto ni mwaka huu tu?
 
blackout.jpg


90


planned-electricity-blackouts-california.jpg


Kutokana na mahitaji kuzidi uwezo wa ugavi, umeme utakuwa ukikatwa muda wowote kuanzia saa tisa alasiri mpaka tatu usiku kwa kupokezana baina ya viunga tofauti tofauti vya mkoa wa California, kwa mujibu wa Mheshimiwa Davin Newsom, Mkuu wa Mkoa.

Bwana Newsom ameziomba kampuni zenye mivyombo mizito ya umeme kama vile meli zilizoegeshwa bandarini kutumia nishati ya generator katika kipindi hiki kigumu kwa Wamarekani wa California.

Nchi mbalimbali duniani zikiwemo Ethiopia na Tanzania zimekuwa mstari wa mbele kufikiria mikakati mipya ya kuzindua vyanzo mbadala vya umeme wa ziada ili kukidhi mahitaji ya uchumi na idadi za watu zinazokua kwa kasi.
California ni mkoa na inaongozwa na mkuu wa mkoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ya kwanini California wanapata Shedding yani mgao wa umeme bado hazijawekwa wazi wapo wanodai kun joto kali sana ambalo husababisha hot wave ivo kupelekea baadhi ya plant kuzima mitambo yao kuepusha kuikaanga, Ila pia wapo wanaodai kuwa Kuna shortage kwenye Grid ya state ila tu tukumbuke hio mgawo mara ya mwisho kutokea ni mwaka 2001 kama miaka 19 ivi nyuma uko
 
Ni kweli mkuu,record high temperatures have been recorded in the US.It is said up to 54.4°C in California!Wanasema haya ni matokeo ya nuclear testing ambazo zimekuwa zinafanyika Marekani.They say once you carry out a nuclear test,you change the atmosphere and weather patterns permanently,na haya ndio matokeo yake.Fuata link ifuatayo ulione hili.


A wise man once said that wherever nuclear weapons testing took place, the weather patterns will be forever altered. | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary
 
Ni kweli mkuu,record high temperatures have been recorded in the US.It is said up to 54.4°C in California!Wanasema haya ni matokeo ya nuclear testing ambazo zimekuwa zinafanyika Marekani.They say once you carry out a nuclear test,you change the atmosphere and weather patterns permanently,na haya ndio matokeo yake.Fuata link ifuatayo ulione hili.


A wise man once said that wherever nuclear weapons testing took place, the weather patterns will be forever altered. | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary
Alaaa kumbe !!!!
 
Back
Top Bottom