BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
California has approximately 80,000 MW of electric generation capacity installed across the state amongst more than 1,500 power plants utilizing a broad array of technologies. Total installed renewable generation capacity is 26,500 MW with almost 12,000 MW from solar and 6,000 MW from wind.
Tanzania imesambaza umeme vijijini
Ungeeleza uzalishaji wa nishati ya umeme hapo California ni megawatt kiasi gani na kwa sasa baada ya mgao zitapatikana megawatt ngapi.kuitaja Ethiopia na Tanzania kama mfano wa nchi zinazopambana sawa na California kuzalisha umeme.ni kufananisha mlima na kichuguu.
Mkuu wewe ni mgeni hapa JF? waleta mada wengi huwa wanabadili habari au kupindisha mada kwa sababu ya mahaba ya dini au siasa na nyingine wanazozijua wao, Sio wajinga ila wanafanya makusudiHawa ni wajinga tupu humu, Tatizo Joto lmezidi kiwango na wanalazimila kuzima mitambo isine lipuka, kuna joto la kutisha ambalo halijawahi tokea kwa karine nzima so wanazima mitambo ya kufua umeme
Yani wewe ni zaidi ya tahira,sasa kupotosha habari inakusaidia nini.yani mwanaume mzima mwenye umme umekaa kushabikia mwanaume mwenzio aliyetoka kwenye uke kama ww kwa kupotosha habari.pathetic!
Kutokana na mahitaji kuzidi uwezo wa ugavi, umeme utakuwa ukikatwa muda wowote kuanzia saa tisa alasiri mpaka tatu usiku kwa kupokezana baina ya viunga tofauti tofauti vya mkoa wa California, kwa mujibu wa Mheshimiwa Davin Newsom, Mkuu wa Mkoa.
Bwana Newsom ameziomba kampuni zenye mivyombo mizito ya umeme kama vile meli zilizoegeshwa bandarini kutumia nishati ya generator katika kipindi hiki kigumu kwa Wamarekani wa California.
Nchi mbalimbali duniani zikiwemo Ethiopia na Tanzania zimekuwa mstari wa mbele kufikiria mikakati mipya ya kuzindua vyanzo mbadala vya umeme wa ziada ili kukidhi mahitaji ya uchumi na idadi za watu zinazokua kwa kasi.
Kula tano.Ungeeleza uzalishaji wa nishati ya umeme hapo California ni megawatt kiasi gani na kwa sasa baada ya mgao zitapatikana megawatt ngapi.kuitaja Ethiopia na Tanzania kama mfano wa nchi zinazopambana sawa na California kuzalisha umeme.ni kufananisha mlima na kichuguu.
Huu umeme wa Tanzania vijijini unatumika salon na kuwasha mwangaza chumbani.tuwe serious kidogo California siyo kongwaTanzania imesambaza umeme vijijini
California ya bunjuCalfornia hii nayoijua mimi au calfornia ile kalifonia..?
Hilo joto ni mwaka huu tu?Mkuu si kwamba wana uhaba bali kuna joto la kufa mtu huki California so wanalazimika kuzima mitambo kufua umeme wakihofia kwamba zile nyaya za kusafirisha umeme zinaweza sababisha moto wa nyika au Wild fire, sasa humu wale tunao shikiwa akili tunazani jamaa wamezidiwa na matumizi
Mchina hana adabu [emoji23]Hilo joto ni mwaka huu tu?
Hilo joto ni mwaka huu tu?
California ni mkoa na inaongozwa na mkuu wa mkoa?
Kutokana na mahitaji kuzidi uwezo wa ugavi, umeme utakuwa ukikatwa muda wowote kuanzia saa tisa alasiri mpaka tatu usiku kwa kupokezana baina ya viunga tofauti tofauti vya mkoa wa California, kwa mujibu wa Mheshimiwa Davin Newsom, Mkuu wa Mkoa.
Bwana Newsom ameziomba kampuni zenye mivyombo mizito ya umeme kama vile meli zilizoegeshwa bandarini kutumia nishati ya generator katika kipindi hiki kigumu kwa Wamarekani wa California.
Nchi mbalimbali duniani zikiwemo Ethiopia na Tanzania zimekuwa mstari wa mbele kufikiria mikakati mipya ya kuzindua vyanzo mbadala vya umeme wa ziada ili kukidhi mahitaji ya uchumi na idadi za watu zinazokua kwa kasi.
Remember the song, "Things That Makes You Go Hmmm..." By C+C Music Factory? This is one of them. 😁
Ni kweli mkuu,record high temperatures have been recorded in the US.It is said up to 54.4°C in California!Wanasema haya ni matokeo ya nuclear testing ambazo zimekuwa zinafanyika Marekani.They say once you carry out a nuclear test,you change the atmosphere and weather patterns permanently,na haya ndio matokeo yake.Fuata link ifuatayo ulione hili.
Alaaa kumbe !!!!Ni kweli mkuu,record high temperatures have been recorded in the US.It is said up to 54.4°C in California!Wanasema haya ni matokeo ya nuclear testing ambazo zimekuwa zinafanyika Marekani.They say once you carry out a nuclear test,you change the atmosphere and weather patterns permanently,na haya ndio matokeo yake.Fuata link ifuatayo ulione hili.
A wise man once said that wherever nuclear weapons testing took place, the weather patterns will be forever altered. | SOTN: Alternative News, Analysis & Commentary