Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Ndugai hakuwepo?
Good question, chawa mkuu wa Jiwe imekuwaje hakuwepo. Vipi Polepole na Bashiru?
Jiwe alikuwa na timu ya machawa, hadi Bashite pia kakausha kwenda kuhani?
Sheikh wa Dar aliyeenguliwa yule aliyedai Jiwe ni zaidi ya Mungu naye hakuwepo? Vipi Musukuma na Gwajima? Hata Covid-19 wanaokula mshahara kwa nguvu zake nao wamesusa?
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Vipi Musukuma amekosaje hapo!?
Utayajua maChawa Sasa!!
 
Jana RFA mida ya saa nne usiku Wambura Mtani sijui alijichanganyaje akachagua ile nyimbo ya Aslay Bye Magufuli, aisee alivyoitoa fasta na kupotezea nkajikuta nacheka yalisikika maneno We Mwanachato Eh kimya kikatawala na stori za kupotezea.

Ila ile nyimbo Aslay aliimba bhana. Leo naomba RFA waipige baada ya kipindi cha michezo usiku.
Aisee 🙄
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Mbona kwa mpendwa wetu mwingine B.W Mkapa hamzungumzi chochote?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ngusa Samike simjui sana ila Kalemanj na Dotto James hawakuwa na adabu kabisa enzi za utawala wa Dkt Magufuli, yaani walijiona miungu watu tena hawakuwa binaadamu wa kusikiliza shida za watu.
Dotto James hakuwa muongeaji hata ukitafuta clip zake youtube hazifiki hata tano yeye alikuwa anakula pesa kimya kimya.

Wewe utakuwa unamsema Heri James aliyekuwa UVCCM na matamko yake ya kukera
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Mungu ambariki RC Martin Shigella na viongozi wengine walioonesha mshikamano na upendo kwa kumbukizi ya mwamba na fimbo chungu kwa majizi ya CCM, CDM, ACT na baadhi ya viongozi serikalini wenye maadili potofu kwa maslahi yao binafsi.

Kidogo kidogo sahani zitameguka
 
Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.

Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.

Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.

My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Acha unafiki
 

Attachments

  • Screenshot_20230317-180443_Instagram.jpg
    Screenshot_20230317-180443_Instagram.jpg
    204.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230317-180431_Instagram.jpg
    Screenshot_20230317-180431_Instagram.jpg
    217.4 KB · Views: 2
Si mtakatifu na nitakufa najua lakini pamoja na kutokuwa mkamilifu bado sitaweza kuwafanyia binadamu wenzangu unyama wa kuwadhulumu haki zao za asili kama aliofanya magufuli. Mungu ampe adhabu kadiri ya mabaya aliyofanya.
Amen![emoji120]
 
Good question, chawa mkuu wa Jiwe imekuwaje hakuwepo. Vipi Polepole na Bashiru?
Jiwe alikuwa na timu ya machawa, hadi Bashite pia kakausha kwenda kuhani?
Sheikh wa Dar aliyeenguliwa yule aliyedai Jiwe ni zaidi ya Mungu naye hakuwepo? Vipi Musukuma na Gwajima? Hata Covid-19 wanaokula mshahara kwa nguvu zake nao wamesusa?
Nchi hii isikie ina wanafiki acha kabisa akina Ndugai hadi mitaa,na masoko nk yamepewa majina yake

Walitakiwa kuwepo wamesepa

Kila Raisi aliyeko madarakani anatakiwa kulijua hilo kuwa machawa si majitu ya kuyaamini sana huangalia tu upepo wa fursa !!!

Wanasema wahenga mwenzio akinyolewa wewe tia maji
 
Nchi hii isikie ina wanafiki acha kabisa akina Ndugai hadi mitaa,na masoko nk yamepewa majina yake

Walitakiwa kuwepo wamesepa

Kila Raisi aliyeko madarakani anatakiwa kulijua hilo kuwa machawa si majitu ya kuyaamini sana huangalia tu upepo wa fursa !!!

Wanasema wahenga mwenzio akinyolewa wewe tia maji
[emoji817][emoji3581]
 
Back
Top Bottom