Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Ndugai hakuwepo?
Good question, chawa mkuu wa Jiwe imekuwaje hakuwepo. Vipi Polepole na Bashiru?
Jiwe alikuwa na timu ya machawa, hadi Bashite pia kakausha kwenda kuhani?
Sheikh wa Dar aliyeenguliwa yule aliyedai Jiwe ni zaidi ya Mungu naye hakuwepo? Vipi Musukuma na Gwajima? Hata Covid-19 wanaokula mshahara kwa nguvu zake nao wamesusa?
 
Vipi Musukuma amekosaje hapo!?
Utayajua maChawa Sasa!!
 
Aisee 🙄
 
Mbona kwa mpendwa wetu mwingine B.W Mkapa hamzungumzi chochote?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Ngusa Samike simjui sana ila Kalemanj na Dotto James hawakuwa na adabu kabisa enzi za utawala wa Dkt Magufuli, yaani walijiona miungu watu tena hawakuwa binaadamu wa kusikiliza shida za watu.
Dotto James hakuwa muongeaji hata ukitafuta clip zake youtube hazifiki hata tano yeye alikuwa anakula pesa kimya kimya.

Wewe utakuwa unamsema Heri James aliyekuwa UVCCM na matamko yake ya kukera
 
 
Mungu ambariki RC Martin Shigella na viongozi wengine walioonesha mshikamano na upendo kwa kumbukizi ya mwamba na fimbo chungu kwa majizi ya CCM, CDM, ACT na baadhi ya viongozi serikalini wenye maadili potofu kwa maslahi yao binafsi.

Kidogo kidogo sahani zitameguka
 
Acha unafiki
 

Attachments

  • Screenshot_20230317-180443_Instagram.jpg
    204.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230317-180431_Instagram.jpg
    217.4 KB · Views: 2
Si mtakatifu na nitakufa najua lakini pamoja na kutokuwa mkamilifu bado sitaweza kuwafanyia binadamu wenzangu unyama wa kuwadhulumu haki zao za asili kama aliofanya magufuli. Mungu ampe adhabu kadiri ya mabaya aliyofanya.
Amen![emoji120]
 
Nchi hii isikie ina wanafiki acha kabisa akina Ndugai hadi mitaa,na masoko nk yamepewa majina yake

Walitakiwa kuwepo wamesepa

Kila Raisi aliyeko madarakani anatakiwa kulijua hilo kuwa machawa si majitu ya kuyaamini sana huangalia tu upepo wa fursa !!!

Wanasema wahenga mwenzio akinyolewa wewe tia maji
 
[emoji817][emoji3581]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…