Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Wewe huwezi jua wanaume tunaumia kiasi gani baada ya kumpoteza huyu mwamba,wewe si upo hapo unamsubilia tu mmeo ushajipulizia udi umpatie haki yake.Pumbavu, wanamwombea shetani?
Unfortunately wewe ni wa Biharamulo, mjina hayo hi ya huko.Wewe huwezi jua wanaume tunaumia kiasi gani baada ya kumpoteza huyu mwamba,wewe si upo hapo unamsubilia tu mmeo ushajipulizia udi umpatie haki yake.
Filisika utawajua marafiki wa kweli.Aiseee!
Je, kama familia waliomba privacy? Serikali na CCM wasingeshindwa kufanya unafiki mdogo.Habari ya kumbukizi ya miaka miwili ya Hayati Magufuli. Familia ya hayati Magufuli ikiongozwa na Mama Janet ilihudhuria ibada hiyo.
Nipo Chato hapa toka jana, kwenye ibada ya kumuombea hayati Magufuli iliyofanyika katika Kanisa Katoliki hapa Mlimani, Kiongozi wa Juu wa Serikali aliyehudhuria ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela.
Watu wengine maarufu waliokuwepo ni Doto James, Ngussa Samike, Mbunge wa Chato, Medard Kalemani bila kumsahau DC wa Chato.
My take:
Mkipata hela kumbukeni zaidi familia zenu, machawa watakusahau mapema ukifa au ukakosa pesa lakini sio familia yako!!
Hata wasanii waliokua wanapost leo hawajampost kweli dunia hii tenda wema nenda zako
Mama wangu ni wa kike ni haki yake,vipi wewe wa kiume ni sawa kwako?Unfortunately wewe ni wa Biharamulo, mjina hayo hi ya huko.
Pili mama yako si naye anjifukiza kwa wanaume wake?
Take note, mimi naweza kuwa baba yako, muulize mama yako, she knows me by this ID!
Hata Bashite Makonda,hakuwepo?
Naona mmeamua kugeuza hii mada kuwa Ze ComedyHata hivyo familia yake inashiriki ili kuua soo tu sio kwamba wanapenda.
Wanaoleta mada wengi wao ni wale wenye 'vita' na marehemu.Hapa wanajaribu kuchokonoa tu ili Marehemu anangwe zaidi kama hujawaelewa.Na nyie mnajiendekeza,mtu alishakufa utakaa kuzunguka makaburini ndo unamrudisha?familia yake ikimkumbuka inatosha,eti alikuwepo kiongozi mmoja huyohuyo anatosha bwana.
Pumzika kwa amani JPM
Tuache kukuza mambo madogo,nyie huko mnakowazika ndugu zenu huwa mnaenda kuwaombea kila mwaka?.Narudia familia yake ikimkumbuka inatosha,wao ndo wana stable(strong) bond na marehemu.
Nishawasoma sijui wanafaidika nini kushindana na mtu ambaye hawezi kujiteteaWanaoleta mada wengi wao ni wale wenye 'vita' na marehemu.Hapa wanajaribu kuchokonoa tu ili Marehemu anangwe zaidi kama hujawaelewa.
Kwamba hakuna atakayekwenda Mkunazini! Ahahahahaha!!!Hata Hawa nao itakua hivyo hivyo.
Doto Biteko hakuwepo?Ni jambo jema
Hata msiba ulitangaziwa mkoani Kwake akiwa RC Tanga
Alikuwepo Waziri BashungwaDoto Biteko hakuwepo?
Umemsahau kabudi na jerry murroHata Waunga juhudi walionunuliwa kwa kodi zetu, nao wamemtosa simuoni kessy, nkamia, makonda, bashiru, ndugai, kingai, le profesele, dokta and others kushiriki, kweli tenda wema.