Mkuu wa Mkoa wa Geita, Kiongozi pekee wa Serikali aliyekuwepo kwenye ibada ya Kumuombea Magufuli leo Kanisani

Vp kuhusu Sabaya? Mbona ni kama niliona chozi lake jicho moja
 
Hawezi kupumzika kwa amani kwa uovu alioufanya kwa nchi hii
 
Wengi wao ni kama wamekwama sehemu flan ya maisha yao na sasa kisirani chote wanakipeleka kwa Marehemu.Mtu ana zaidi ya miaka miwili hayupo Duniani,unashangaa mtu 24/7 anamtukana.Ni aina flan ya msongo wa mawazo unaoendana na kukata tamaa ya maisha.
Mbona Mkapa watu hawakumsema kwa mabaya japo ana mabaya pia, jiwe alikuwa zaidi ya shetani
 
Hata Hawa nao itakua hivyo hivyo
Sawa, na hivyo ndivyo inavyotakiwa! Marehemu Mkapa katika uhai wake alipenda kunukuu maneno ya wimbo wa kale wa dansa: "mtoto wacha kulia, waache watu waone wenyewe". Mwenyewe alikuwa kiongozi bora sana na aliyeheshimika nchi nzima. Lakini hakukubali hata kidogo kusifiwa licha ya kutukuzwa. Baada ya kufa hakuna raia wanaohangaika kujua lini alifariki na nini kinafanyika kumkumbuka; hilo ni suala la familia. Tofauti kabisa na huu umaarufu wa wanasiasa mbilikimo wa kulazimisha mpaka kumbukumbu ya kifo! Pathetic!
 

Hao wanyonge mbona maisha yao hayakubadilika, au wao wameumbwa kuwa wanyonge tu? Na dhalimu alikuwa na kipaji cha kuhadaa watu wamuone mtu mwema, wakati alikuwa muovu tu.
 
Hao wanyonge mbona maisha yao hayakubadilika, au wao wameumbwa kuwa wanyonge tu? Na dhalimu alikuwa na kipaji cha kuhadaa watu wamuone mtu mwema, wakati alikuwa muovu tu.
Kawaulize kwa nini walimlilia vile aliwafaa lipi?
 

Zitameguka kwa ajili ya yule dhalimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…