Mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini auliwa na M23

Mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini auliwa na M23

Hii habari ni kama sijaielewa.Huyu Makonda alienda kuwatembelea wanajeshi wakiwa field au? na je ina maana aliwazukia jamaa akiwa hana ulinz
Jeshi la FARDC lina pia watu kutoka jamii ya watutsi. Unategemea watakaa kimya kuona wenzao wanauliwa? Lazima watoe siri kwa M23 kwa kila kinachopangwa.
Vyanzo vinasema kwamba M23 ilivofika SAKE, iliacha barabara wazi na kusonga mbere wakiwa vichakani, ndipo huyu alikuja akisindikiza jeshi lake. Ina maana walimchora, au pengine kuna mtu aliwatonya. Kuna nyumba moja ilionyeshwa ikisemekana ndo iliyotumika kummiminia risasi. Taarifa nyingine pia,sikasema yawezekana akauliwa na watu wake, japo kwa kinachoongelewa, maiti yake ili ichukuliwe, zililia sana.
Jeshi lina siri na propaganda. Kikubwa tu ni kwamba jeshi la serikali ya DRC halijiwezi,na hapo kuchelewa kote huko ni misaada ya wanajeshi wengine waliokuwepo.
 
hivi kuna trend huko tiktok za wale kundi la kuluna nn kilitokea had wakawa executed vile? inauma had trump akasema anataka raia wawili wamarekani malanga na mwenzie warudishwe marekani haraka na videos zinaonesja wamerudishwa whats going on??
Wewe ni mjinga.
Wale Panya road ulitaka nini kifanyike?
 
Wewe ni mjinga.
Wale Panya road ulitaka nini kifanyike?
wewe ndio fala, nimeuliza ni nn kinaendelea ungeniambia ni panya road ungepungukiwa kongosho? mimi nimeona nimeuliza nijue shidaiko wapi? nigga punguza wahka
 
T
Maj Gen anakufaje kizembe hivyo? Tatizo la Africa vyeo vingi jeshini haviendani na uwezo wa muhsika
Mkuu we ni majeshi kunoga sana. Aliekudanganya kuwa ukiwa na cheo kikubwa Cha kijeshi kama major general haufi nani?
Ambush haijawahi kumuacha mtu salama si komando, si askari wa kawaida.
Nb. Hujui chochote kuhusu historia Kuna wengi waliokuwa na vyeo vikubwa vya kitaifa wakauawa. Eg senior Kabila, lieutenant general Kombe! John F Kennedy.
Je hawa hawakuwa na ulinzi wa kutosha?
 
Mzimu wa M23 ni hatari sana kwa mustakabali wa mashariki ya DRC.
Mzaha mzaha hao jamaa kuna siku wataichukua Goma na kutangaza Taifa linguine katikati ya DRC na Rwanda.

DRC wana resourcea nyingi sana kuanzia Katanga province, kuja huku mashariki mpaka maeneo ya Kisangani yote, wangekaa chini mataifa yote ya Africa na kuangalia uwezekano wa kuigawa hiyo nchi maana imeonekana hata kiutawala imewashinda.
Wakianza kuigawa haitakuwa mara 1
Binafsi natofautiana na wazo la kugawanya.
Hawatoishia hapo wakianza kugawanya, yataibuka makundi mengine nayo yatataka kugawana
Na vipi kuhusu uwepo wa hao waasi!? Wenyewe siyo binadamu? Wawnde wapi!?
Waasi waishi kama raia wema wakifuata taratibu na sheria za Congo.
 
Wakianza kuigawa haitakuwa mara 1
Binafsi natofautiana na wazo la kugawanya.
Hawatoishia hapo wakianza kugawanya, yataibuka makundi mengine nayo yatataka kugawana

Waasi waishi kama raia wema wakifuata taratibu na sheria za Congo.
Kilichowafanya wawe waasi ni nini!? Kabla ya comments uliza au go deep in history. Unadhani hata huo umoja wa mataifa(japo ni wanafiki), hawajui? Tatizo tu ni kwanini wenyewe kwa wenyewe wapigane!? Utagundua kuna mkono wa watu. Mzungu hawezi kukutawala kama hajakugombanisha na mwenzio. Na akiona hana masrahi anakuacha utajua mwenyewe. Haya,baada ya miaka 20, kinachoendelea sasa hivi, wanapaki mabegi yao, mbwa wao na magari yao, kuelekea Entebbe Uganda. Walichokifanya ni nini? Walichokiacha ni nini? Hivi, mbali na Africa, hizo mission za UN kuna nchi nyingine ulizisikia?!
 
Maj Gen anakufaje kizembe hivyo? Tatizo la Africa vyeo vingi jeshini haviendani na uwezo wa muhsika
Mzembe kabisa huyu! Sema video nemefuta nengekuonyesha alivyo kuwa anachukuwa video shoot karibu na Sake ya kumtumia Kisekedi kuwa bado wako ndani ya Mji huo.
 

Attachments

  • 20250126_113603.jpg
    20250126_113603.jpg
    64.8 KB · Views: 4
  • 20250126_113606.jpg
    20250126_113606.jpg
    52.1 KB · Views: 7
Kilichowafanya wawe waasi ni nini!? Kabla ya comments uliza au go deep in history. Unadhani hata huo umoja wa mataifa(japo ni wanafiki), hawajui? Tatizo tu ni kwanini wenyewe kwa wenyewe wapigane!? Utagundua kuna mkono wa watu. Mzungu hawezi kukutawala kama hajakugombanisha na mwenzio. Na akiona hana masrahi anakuacha utajua mwenyewe. Haya,baada ya miaka 20, kinachoendelea sasa hivi, wanapaki mabegi yao, mbwa wao na magari yao, kuelekea Entebbe Uganda. Walichokifanya ni nini? Walichokiacha ni nini? Hivi, mbali na Africa, hizo mission za UN kuna nchi nyingine ulizisikia?!
Kwahiyo wakigawa Congo ndo amani inahakikishwa?......Find how to co- exit in peace, period.
 
Kwahiyo wakigawa Congo ndo amani inahakikishwa?......Find how to co- exit in peace, period.
Jamani, sijui mtu aongeeje.

1. Fuatilia wanavochambana viongozi wa South Afrika wastaafu, wanarudia historia ya mwaka 1885. Hivyo hawaoni sababu ya Ramaphose kupeleka wanajeahi huko.

2. Hawavumi lakini,…………. Rwanda ilisema Congo imefanya jitihada zote kusogeza karibu na mipaka yake kundi la waasi la FDLR. Leo hii Chirimwami alikua kiungo mkubwa kati ya FDLR na Serikali ya DRC. Leo yuko wapi? Omega na jamaa zake wakubwa wako wapi? Mpaka sasa, ni kwamba kundi hilo ni kama linawlekea kumalizwa, au kama lina watu wengine, kati yao na mipaka ya Rwanda, kuna distance kubwa. Atakaeweza kurusha kombola na arushe tu. Sera ya Rwanda kwa sasa ni kwamba nchi ni ndogo. Hivyo, adui wake anafuatwa huko aliko, Rwanda haina uwanja wa vita. Na juzi raisi alisema hivi, kama mnauliza sababu ya Rwanda kuingia DRC, mbona hamuulizi sababu ya Rwanda kutkwenda DRC!! Wazungu midomo wazi. Fananisha hii vita na Russia na Ukraine. Maana leo hii ni kwamba imelenga kukomboa watu waCongo waongeao kinyarwanda.

3. M23, ni watu ambao wamejikuta wanaitwa wa Congo, baada ya wakoloni kugawa mipaka na kujikuta maeneo wanayokaa yanapewa Congo. Mpaka 1994, hakukuwa na tatizo lolote. Wakimbizi wa Rwanda walipoenda Congo, walihakikisha mtutsi aliekimbia nao au hao hao waliowakuta kwao Congo wanawamaliza. Vita vikaanza hivyo, wengine wakakimbilia Uganda na Rwanda. Uganda pia hao watu wapo. Ila sasa, usisahau. Mapolini, watutsi wafugaji, unadhani mifugo yao itaenda wapi!?

4. Mpaka mzungu anatia timu miaka 20 na kitu, unadhani alikosa nguvu ya kumaliza mzozo huo? Hapo kuna bonge la dili. Asilimia kubwa ya pato la wanasiasa na wazungu wengi, ni hapo hapo. Ulizia Iphone wanatumia madini ya wapi!


Kama mpaka hapo hujaelewa, wakuache tu ulivyo.
 
Jeshi la FARDC lina pia watu kutoka jamii ya watutsi. Unategemea watakaa kimya kuona wenzao wanauliwa? Lazima watoe siri kwa M23 kwa kila kinachopangwa.
Vyanzo vinasema kwamba M23 ilivofika SAKE, iliacha barabara wazi na kusonga mbere wakiwa vichakani, ndipo huyu alikuja akisindikiza jeshi lake. Ina maana walimchora, au pengine kuna mtu aliwatonya. Kuna nyumba moja ilionyeshwa ikisemekana ndo iliyotumika kummiminia risasi. Taarifa nyingine pia,sikasema yawezekana akauliwa na watu wake, japo kwa kinachoongelewa, maiti yake ili ichukuliwe, zililia sana.
Jeshi lina siri na propaganda. Kikubwa tu ni kwamba jeshi la serikali ya DRC halijiwezi,na hapo kuchelewa kote huko ni misaada ya wanajeshi wengine waliokuwepo.
In summary ukiwa Congo heshimu sheria za Congo, na kinyume chake ni sahihi........
 
Watusi ni kama ukimwi wakiingia sehemu lazima walete chokochoko! Kikwete ndio aliwaweza hao wajinga walikuwa wamejibanza uko maporini kanda ya ziwa! Msako uliopigwa ni balaa! Wakarudishwa kwao wakafanye vurugu zao uko kwenye kibanda chao walichojazana hata sehemu ya kulima hawana.
unawajua watusi kwanza ? huko Rwanda watusi wameua marais wawili wahutu , je nan anamchukia mwenzie ?
Waki
 
Wanajeshi wa congo hawana hata viatu wala sare za kueleweka
 
Back
Top Bottom