Mkuu wa Mkoa wa Mara apewa amri na mwananchi akitaka choo kianze kazi mara moja 😂

Mkuu wa Mkoa wa Mara apewa amri na mwananchi akitaka choo kianze kazi mara moja 😂

Sasa hapo nini cha ajabu zaidi?

Unamuangalia huyo mwananchi na unatambua rasmi personality yake ina nature ya moshi wa ile kitu na imemuathiri.

Unaona jinsi alivyojichanganya hata anapoulizwa swali?

Jibu lake haliendani na swali zaidi ya kuongea mafumbo ambayo yeye binafsi ndie anayo majibu.

Ila kwa team ROHO MBAYA, na visasi.

Tayari mmepata kick ya kujifariji na kukaa kijiweni.

Haya mengine tunawaona vizuri tu na tunajua mnateseka kumuona mmoja wa wabaya wenu akizidi kuchanja mbuga.

Hapi is HAPPY [emoji4]
Mchune haraka arudi 2025 alitukana wazee wenye chama chao
 
Back
Top Bottom