Mkuu wa Mkoa wa Mara atembelea Mradi wa Kituo cha Polisi Butiama unaojengwa kwa Tsh. Milioni 802

Mkuu wa Mkoa wa Mara atembelea Mradi wa Kituo cha Polisi Butiama unaojengwa kwa Tsh. Milioni 802

Hichi ni kituo Cha polisi au lodge?.
Ni lodge au choo cha halmashauri!

Huyu mjenzi amebuni vipimo ni nini hiki?
Hakuna uwiano wa pana madirisha.


Ujenzi wa kiwango cha chini
Kamata sweka ndani mjenzi
Hii haikubaliki kabisaaa

Ni mjengo wa 10m shillings
CAG tuanze na report ya huu mjengo
WaTz tunajiibia wenyewe
 
Huyu mkuu wa mkoa awajibishwe na mamlaka maelezo aliyotoa kuhusu ujenzj wa kituo cha polisi butiama wa TSH milion 802 yana udanganyifu mkubwa. Pesa inayokaribia billion moja inajenga jengo fupi na dogo namna Ile hivi ni lini serikali ya CCM itashughulikia wezi wa pesa za umma. Kwa hiyo ndoo urefu wa kamba upo hivo ! Hivi kweli CCM mnaamini mpo salaama kutafuna. Pesa za umma hamjui watakaowashughulikia watatoka humohumo ndani ya chama? Mnafikri kuendelea kuongoza nchi ni tiketi ya kutoshughulikiwa Mimi nawaambia jidanganyeni.
 
Sasa hivi kila mtu mwizi kwenye eneo lake na amejifunga mnati ale kadri mnati unavyotanuka
 
Kumkosoa Said Mtanda inabidi utafakari sana, uwe detailed na very analytical and specific to issues sequentially.
 
Tusubiri jengo likabidhiwe ndipo tutahukumu kama fedha zimetumika sawa ama la!
 
Huyu mkuu wa mkoa awajibishwe na mamlaka maelezo aliyotoa kuhusu ujenzj wa kituo cha polisi butiama wa TSH milion 802 yana udanganyifu mkubwa. Pesa inayokaribia billion moja inajenga jengo fupi na dogo namna Ile hivi ni lini serikali ya CCM itashughulikia wezi wa pesa za umma. Kwa hiyo ndoo urefu wa kamba upo hivo ! Hivi kweli CCM mnaamini mpo salaama kutafuna. Pesa za umma hamjui watakaowashughulikia watatoka humohumo ndani ya chama? Mnafikri kuendelea kuongoza nchi ni tiketi ya kutoshughulikiwa Mimi nawaambia jidanganyeni.
Hapo ukute kuanzia chama kimepata mgao na zingine zimepigwa hazina
 
Huyu mkuu wa mkoa awajibishwe na mamlaka maelezo aliyotoa kuhusu ujenzj wa kituo cha polisi butiama wa TSH milion 802 yana udanganyifu mkubwa. Pesa inayokaribia billion moja inajenga jengo fupi na dogo namna Ile hivi ni lini serikali ya CCM itashughulikia wezi wa pesa za umma. Kwa hiyo ndoo urefu wa kamba upo hivo ! Hivi kweli CCM mnaamini mpo salaama kutafuna. Pesa za umma hamjui watakaowashughulikia watatoka humohumo ndani ya chama? Mnafikri kuendelea kuongoza nchi ni tiketi ya kutoshughulikiwa Mimi nawaambia jidanganyeni.
Jamaa alikuwa makini sana ila hii imemvua nguo , huwezi kutetea wizi kama ule unless na yeye kapewa mgao
 
Jamani kuleni kwa urefu wa kamba zenu (in Samia voice)
 
Huyu mkuu wa mkoa awajibishwe na mamlaka maelezo aliyotoa kuhusu ujenzj wa kituo cha polisi butiama wa TSH milion 802 yana udanganyifu mkubwa. Pesa inayokaribia billion moja inajenga jengo fupi na dogo namna Ile hivi ni lini serikali ya CCM itashughulikia wezi wa pesa za umma. Kwa hiyo ndoo urefu wa kamba upo hivo ! Hivi kweli CCM mnaamini mpo salaama kutafuna. Pesa za umma hamjui watakaowashughulikia watatoka humohumo ndani ya chama? Mnafikri kuendelea kuongoza nchi ni tiketi ya kutoshughulikiwa Mimi nawaambia jidanganyeni.
MRADI WA KITUO CHA POLISI BUTAMA WA MIL 802.

Nimesoma kupitia mitandao ya kijamii kuhusu mjadala wa kukamilika kwa kituo cha polisi Butiama kwa thamani ya sh mil 802.

Kwanza nawapongeza waandishi kwa kuibua hoja na mjadala, ingawa hoja na mjadala haukusikia wala kutaka kufahamu kutoka upande wa serikali.

Kwa kuwa serikali yetu ni serikali inayotoa uhuru kwa wanahabari na vyombo vya habari tumeitikia wito wenu wana habari,

Leo nimetembelea mradi uliotajwa hapo juu na kupokea taarifa na kukagua kituo hicho,

Kwanza Mradi huu ni kweli una thamani ya sh mil 802 hadi kukamilika kwake. Piga mstari kaka jemedari neno kukamilika kwake.

Hadi sasa serikali imetoa fedha kwa acc ya RPC Mara sh mil 500.

Matumizi ya sh mil 500 iliyotolewa ni kama ifuatavyo.

1. Mil 43 imelipwa kwa wananchi wa Butiama wenye viwanja 6, uthamini na mchakato wa malipo yao umesimamiwa na halmsahauri ya wilaya Butiama.


2. Hadi sasa sh mil 91 bado haijatumika katika mradi, mil 48 imeombwa hazina kwa matumizi haya

A. Mil 16.4 malipo ya Local fundi.

B. Retention mil 2.1

C. Diesel ya mradi mil 3.4

D. Supplier Al Nadabi mil 12.6

E. Umeme Tanesco mil 14.

Malipo haya yameithinishwa lakini hayajalipwa bado.

Aidha kwenye Acc ya mradi fedha sh mil 42.453.460.18 hazijatumika kwa sababu kazi bado inaendelea.

Kwa msingi huo fedha takriban mil 366 zimetumika hadi hapo mradi ulipofikia.

TASWIRA YA MRADI

Nimejionea ukubwa wa jengo takriban sm 737 nimepima kwa kushirikiana na wahandisi. Bado nalifanyia kazi zaid kitaalam zaid.

Jengo lina ofisi za OCD, OCCID, DTO na OCS, lina mahabusu ya watoto chini ya miaka 18, mbili, kwa wanaume na wanawake. Ina mahabusu ya walemavu na mahabusu ya wakina baba na wakina mama. Jumla mahabusu 6 zenye uwezo wa kuchukua watu kati ya 50 na 60. Vyumba 31 na vyoo 15.

HATUA TUNAYOCHUKUA KAMA SERIKALI

1. Kupitia mkaguzi wetu wa ndani RS tutakagua takwimu na kiasi cha fedha kilichotumika yaani mil 366 kama kinalingana na thamani ya fedha.

2. Tutaishauri serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani mradi huu unaweza kuisha chini ya thamani hiyo iliyotajwa.

Mwisho, eneo linahitaji uzio na canteen, endapo fedha iliyopitishwa kwenye bajeti itatolewa tuombe kibali cha kutekeleza sehemu ya pili ya mradi.

Said Mtanda
RC Mara.
19 Nov 2023
 
Jamaa alikuwa makini sana ila hii imemvua nguo , huwezi kutetea wizi kama ule unless na yeye kapewa mgao
MRADI WA KITUO CHA POLISI BUTAMA WA MIL 802.

Nimesoma kupitia mitandao ya kijamii kuhusu mjadala wa kukamilika kwa kituo cha polisi Butiama kwa thamani ya sh mil 802.

Kwanza nawapongeza waandishi kwa kuibua hoja na mjadala, ingawa hoja na mjadala haukusikia wala kutaka kufahamu kutoka upande wa serikali.

Kwa kuwa serikali yetu ni serikali inayotoa uhuru kwa wanahabari na vyombo vya habari tumeitikia wito wenu wana habari,

Leo nimetembelea mradi uliotajwa hapo juu na kupokea taarifa na kukagua kituo hicho,

Kwanza Mradi huu ni kweli una thamani ya sh mil 802 hadi kukamilika kwake. Piga mstari kaka jemedari neno kukamilika kwake.

Hadi sasa serikali imetoa fedha kwa acc ya RPC Mara sh mil 500.

Matumizi ya sh mil 500 iliyotolewa ni kama ifuatavyo.

1. Mil 43 imelipwa kwa wananchi wa Butiama wenye viwanja 6, uthamini na mchakato wa malipo yao umesimamiwa na halmsahauri ya wilaya Butiama.


2. Hadi sasa sh mil 91 bado haijatumika katika mradi, mil 48 imeombwa hazina kwa matumizi haya

A. Mil 16.4 malipo ya Local fundi.

B. Retention mil 2.1

C. Diesel ya mradi mil 3.4

D. Supplier Al Nadabi mil 12.6

E. Umeme Tanesco mil 14.

Malipo haya yameithinishwa lakini hayajalipwa bado.

Aidha kwenye Acc ya mradi fedha sh mil 42.453.460.18 hazijatumika kwa sababu kazi bado inaendelea.

Kwa msingi huo fedha takriban mil 366 zimetumika hadi hapo mradi ulipofikia.

TASWIRA YA MRADI

Nimejionea ukubwa wa jengo takriban sm 737 nimepima kwa kushirikiana na wahandisi. Bado nalifanyia kazi zaid kitaalam zaid.

Jengo lina ofisi za OCD, OCCID, DTO na OCS, lina mahabusu ya watoto chini ya miaka 18, mbili, kwa wanaume na wanawake. Ina mahabusu ya walemavu na mahabusu ya wakina baba na wakina mama. Jumla mahabusu 6 zenye uwezo wa kuchukua watu kati ya 50 na 60. Vyumba 31 na vyoo 15.

HATUA TUNAYOCHUKUA KAMA SERIKALI

1. Kupitia mkaguzi wetu wa ndani RS tutakagua takwimu na kiasi cha fedha kilichotumika yaani mil 366 kama kinalingana na thamani ya fedha.

2. Tutaishauri serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani mradi huu unaweza kuisha chini ya thamani hiyo iliyotajwa.

Mwisho, eneo linahitaji uzio na canteen, endapo fedha iliyopitishwa kwenye bajeti itatolewa tuombe kibali cha kutekeleza sehemu ya pili ya mradi.

Said Mtanda
RC Mara.
19 Nov 2023
 
Kumkosoa Said Mtanda inabidi utafakari sana, uwe detailed na very analytical and specific to issues sequentially.
Hata tupicha picha twa kinachoongolewa wajameni🤔
 
Back
Top Bottom