Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili ndiyo tatizo la kuacha kumuomba Mungu,unabaki kumsifia mtuView attachment 1422530
Hapo Jana Mh Chalamila aliweka utaratibu wa wanywaji wa Mbeya , kwa kutoa muda wa hadi saa 3 usiku wawe wamepukutika kwenye mabar , kwa hoja kwamba baada ya muda huo wengi wanakuwa wamelewa kiasi cha kukiuka kinachoitwa Social Distancing ili kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona .
Lakini katika hali ya kushangaza leo hii amefuta amri hiyo , na kwamba wanywaji waendelee kupiga kilaji mpaka watakapotosheka , ili mradi wachukue tahadhari .
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji Tiririka ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
naendelea kuisaka mkuuHuna video ya leo, sijajua kama watakuja kuomba radhi namba ikiendelea kuwa kubwa
Bash kaagiza kila familia ikae kikao kujadili corona,j3 wapeleke mihutasari kwakeHizo mikwara wamwachie Bashboy.
Hashtag ya mukaidi. Ila wakenya buana, sjui ni kiswahili kulod kwa muda mrefu ama waliamua tu kumchafuaTunataka mapato "Naomba mukakorekiti revenyu. Nataka kodi" Kwa sauti ya mwenye hashtag yake kule 254
Hizi CODES nyengine zinakuwa ngumu kidogo!!!!Bash kaagiza kila familia ikae kikao kujadili corona,j3 wapeleke mihutasari kwake