Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Chalamila astuka , Atengua zuio la kufunga Bar kuzuia Corona

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Chalamila astuka , Atengua zuio la kufunga Bar kuzuia Corona

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ametengua agizo la kufunga baa saa 3:00 usiku alilolitoa Aprili 17, 2020. Amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya wamiliki wa baa kuweka mikakati ya kudhibiti virusi vya corona (kuweka vitakasa mikono, kuzingatia umbali) kwenye maeneo yao.

Na nyie Watawala Siku zingine muwe mnatuliza Kwanza Akili zenu hasa pale mnapowateua Wasaidizi wenu hawa Tanzania hii.
 
Kuna mtu aliuliza mbona wapinzani wanang'ang'ania zuio la mikusanyiko ya ibada tu na sio bar.
 
RC alikuwa correct 100.1%

amegeuka nyuma kama mke wa Lutu...jiwe la chumvi linamuhusu
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ametengua agizo la kufunga baa saa 3:00 usiku alilolitoa Aprili 17, 2020. Amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya wamiliki wa baa kuweka mikakati ya kudhibiti virusi vya corona (kuweka vitakasa mikono, kuzingatia umbali) kwenye maeneo yao.

Na nyie Watawala Siku zingine muwe mnatuliza Kwanza Akili zenu hasa pale mnapowateua Wasaidizi wenu hawa Tanzania hii.
Watanzania nao watakuwa hamnazo kwa kusubiri matamko haya ya kubabisha kulinda afya zao.Kwa hali hii bado kuna mijitu inakwenda bar?...useless kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ametengua agizo la kufunga baa saa 3:00 usiku alilolitoa Aprili 17, 2020. Amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya wamiliki wa baa kuweka mikakati ya kudhibiti virusi vya corona (kuweka vitakasa mikono, kuzingatia umbali) kwenye maeneo yao.

Na nyie Watawala Siku zingine muwe mnatuliza Kwanza Akili zenu hasa pale mnapowateua Wasaidizi wenu hawa Tanzania hii.
Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!
 
Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!
Mlevi na kitakasa mikono wapi na wapi bwashee?!!!
 
Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!

Huu sio utetezi bali wendawazimu, yaani hivyo vitakasa mikono vinakuwepo huko kwenye hizo bar, kisha ikifika saa 3 usiku bar zote wanavitoa ama? Au hizo K Vant za kununuliwa ndio zinakupa nguvu ya kutetea maamuzi mabovu ya huyo muhuni?
 
Mbona makonda akitangazaga maujinga yake huwa hawamwambii arekebishe Wanamuogopa? naona katibu wachama ndiyo anajitutumuaga!!
Huyu mkinga anakuwaga na wenge flani inapnekana alitumia weed sana kama kwasasa hatumii
 
Huu sio utetezi bali wendawazimu, yaani hivyo vitakasa mikono vinakuwepo huko kwenye hizo bar, kisha ikifika saa 3 usiku bar zote wanavitoa ama? Au hizo K Vant za kununuliwa ndio zinakupa nguvu ya kutetea maamuzi mabovu ya huyo muhuni?
Nanunuliwa na nani?
 
Duuh!!
Hivi umeumbwa kama sisi binadamu wengine wa kawaida!!?
Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom