GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kufyata mkia Ndio nini Mkuu
Mbona kitu rahisi tu unajadili kwa kupanic
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa ameoa bia ya jamii nzima.
Robert maamuzi ya kufunga bar saa tatu ameyabadilisha na kuwambia wamiliki bar wakeshe kabisa ikibidi ilimradi wajilinde tu na corona... Hiyo ndo maana ya kufyata
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania nao watakuwa hamnazo kwa kusubiri matamko haya ya kubabisha kulinda afya zao.Kwa hali hii bado kuna mijitu inakwenda bar?...useless kabisaMkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ametengua agizo la kufunga baa saa 3:00 usiku alilolitoa Aprili 17, 2020. Amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya wamiliki wa baa kuweka mikakati ya kudhibiti virusi vya corona (kuweka vitakasa mikono, kuzingatia umbali) kwenye maeneo yao.
Na nyie Watawala Siku zingine muwe mnatuliza Kwanza Akili zenu hasa pale mnapowateua Wasaidizi wenu hawa Tanzania hii.
Madada poa pamoja na kwamba wanajiuza kuna muda wanachagua wanaume wa kulala nao, jifunze kwenda na upepo wa wakati husika.Acha ni kuache, nitakuharibia uzi wako maana mwisho wa siku utabakia kutukana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ametengua agizo la kufunga baa saa 3:00 usiku alilolitoa Aprili 17, 2020. Amesema uamuzi huo umefikiwa baada ya wamiliki wa baa kuweka mikakati ya kudhibiti virusi vya corona (kuweka vitakasa mikono, kuzingatia umbali) kwenye maeneo yao.
Na nyie Watawala Siku zingine muwe mnatuliza Kwanza Akili zenu hasa pale mnapowateua Wasaidizi wenu hawa Tanzania hii.
Mlevi na kitakasa mikono wapi na wapi bwashee?!!!Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!
We jamaa unaboa sana, ni ngumu mtu kukuvumilia!Acha ni kuache, nitakuharibia uzi wako maana mwisho wa siku utabakia kutukana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!
Tunanawa kabla ya kuingia Bwashee. Na tukiwa humo tuna keep distance. Tukihisi tumechafuka, tunatumia K Vant kama sanitizer Bwashee!Mlevi na kitakasa mikono wapi na wapi bwashee?!!!
Nanunuliwa na nani?Huu sio utetezi bali wendawazimu, yaani hivyo vitakasa mikono vinakuwepo huko kwenye hizo bar, kisha ikifika saa 3 usiku bar zote wanavitoa ama? Au hizo K Vant za kununuliwa ndio zinakupa nguvu ya kutetea maamuzi mabovu ya huyo muhuni?
Maamuzi ya swali na ya sasa hivi yote yako sawa. Agizo la serikali ni kuweka vitakasa mikono kola sehemu muda wote. Kama Mh. RC alijiridhisha kuwa kwenye baa za mkoani kwake walikuwa hawaweki baada ya saa tatu usiku, alikuwa na hali ya kuzifunga. Kama wamamiliki na waendeshaji wameahidi viweka hadi usiku, pia sawa kuruhusiwa na Mh. RC. Sisi Mwanza tunafuata maelekezo yote na ndio maana pamoja na mvua iliyoanza saa nane hadi sasa hivi tuko baani tunagonga K Vant!