Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Chalamila astuka , Atengua zuio la kufunga Bar kuzuia Corona

Ulipenda nini kitokee??
 
Chalamila unafahamu kilichomng'oa Makalla ? be careful
 
Lazima kuna sentence ilisomeka "pumbavu wewe kwahuo ufala uliofanya kodi tutazipataje?"

Na hilo neno Pumbavu ( Popoma ) huwa analipenda sana na Mawaziri akina Mpango na Kabudi ' wameshatukanwa ' nalo mno kama ambavyo Mwenyewe alisema Siku Moja kulipokuwa na Hafla ya Uapisho kwa Wateule wake pale Jumba Jeupe Magogoni.
 
Asante kwa taarifa hii.
P
 
Halafu na lenyewe ni linywaji lizuri tu hili jamaa ni lianachama lenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…