Mkuu wa Mkoa wa Mwanza apewa wiki tatu na Mwenezi Makonda kuhakikisha Hospitali ya Sengerema Inafunguliwa

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza apewa wiki tatu na Mwenezi Makonda kuhakikisha Hospitali ya Sengerema Inafunguliwa

Sasa Mama huwa yeye, anashindwa nini kufanya haya ilihali ana TOOLS zote?..
Hivi kwa fikra zako kuna kitakalo fanyika hapo? Hizo zote ni futuhi tuu, na zitasahaulika hata kabla hajafika Dodoma.
Ameyakusanya maccm hapo na kubwabwaja kisha yanamshangilia na imetoka hiyo.
Weka notification ya post hii na baada ya mwezi fuatilia kama kuna kilichofanyika.
 
[emoji419][emoji419] MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Kudadadadeq
 
📌📌 MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
😁😁😁😁😁😁😀😀😀😀
 
[emoji419][emoji419] MAAGIZO 3 YA CCM NDANI YA SENGEREMA - MWENEZI MAKONDA

Katibu wa Halmashauri Kuu , Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Paul Makonda ametoa maagizo matatu ya Chama Chama Mapinduzi mara baada ya kusiliza kero za Wananchi wa Sengerema akiwa njiani kupokelewa katika Jiji la Mwanza ambapo yupo kwa muendelezo wa ziara yake.

Maagizo hayo ni;
1 Chama Cha Mapinduzi kimetoa muda wa wiki moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla kuhakikisha Hospitali ya Wilaya ya Sengerema inafunguliwa na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

2 Chama Cha Mapinduzi yamuelekeza Afisa Ardhi kuhakikksha hadi kufikia kesho tarehe 13 Novemba, 2023 hati itolewe na ujenzi wa stendi uanze.

3 Aidha CCM yamuelekeza Mkurugenzi wa Halmaahauri ya Sengerema hadi kufikia kesho tarehe 12 Novemba, 2023 Stendi ya Mwembe yanga iliyokuwa imefungwa ifunguliwe kwani ni moja ya malalamiko makubwa ya Wananchi wa eneo hilo.

Cde. Paul Makonda
Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa.

Akizungumza njiani na Wananchi wa Sengerema Jijini Mwanza kwenye ziara yake leo tarehe 12 Novemba, 2023.

#CCMKazini
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
Akiba ya maneno ni muhimu sana kwenye ulingo wa siasa.
[emoji1787][emoji1787]
 
Nyuma geuka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Majamaa yanageuzina ulaji tu
 
Hawa wateule wa awamu watafika mbinguni wamechoka sanaa
 
Hapana;
Iko hivi; Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Mkoa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa..Mkuu wa Mkoa ni Mjumbe Mwalikwa.
Aidha, Mkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa.
Ni mwenyekiti wa kamati ya siasa ya mkoa.

Pia ni mtumishi wa Serikali inayoongozwa na CCM .
 
Hapana;
Iko hivi; Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Mkoa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa..Mkuu wa Mkoa ni Mjumbe Mwalikwa.
Aidha, Mkuu wa Mkoa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa.
Fanya homework yako vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom