Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ukiwa kwenye familia ya viongozi wa CCM lazima utafanikiwa ingawa ni kifisadi zaidiHao WATOTO wa vigogo wanapeana ajira tu ili wasikae Jobless.
Ingekuwa ni kufanya kazi, wangeweka mtu anayefanya KAZI na siyo kulipa fadhila au kuwapa rushwa watu watulie.