Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Jiji limekushinda, Jitafakari! Ni pachafu sana

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Jiji limekushinda, Jitafakari! Ni pachafu sana

Hiyo picha ya kwanza ni mtaani kwangu hapo nkurumah road mtaa wa Uturn alafu mita chache kutoka hapo ndipo ilipo bohari ya madawa ya MSD, yani pachafu sana mwanza!
Nakumbuka enzi hizo Mwanza ndio jiji lililokuwa linashinda kila mwaka kwa usafi.

Sasa hivi sidhani kama hayo mashindano bado yapo.
 
Kwa swala la taa za barabara kutokuwaka nakuunga mkono hasa pale nera ila bustani nadhani iliharibiwa na mvua kubwa iliyonyesha mwaka jana.
 
Serious huyu jamaa anachoweza ni kuficha kipara na kale ka kofia kake tu, mji umemshinda.. Mi nadhani ni busara akipangiwa majukumu mengine nje ya Mwanza.
 
Hiv huyu ndiye aliamurua waokoaji wasitishe zoezi la kuokoa watu waolizamia kwenye kivuko Ukerewe kuwa giza limeingia uokoaji utaendelea kesho...kumbe baadhi ya watu walikuwa bado hawajafa......nauliza kama ni yeye au la...
 
Umeanza vizuri,ila ulipoleta habari za Makonda ukaharibu
 
unaelewa maana ya mkuu wa mkoa?
Anaetangaza zabuni za ukusanyaji taka ni nani labda? Ukusanyaji mapato na matumizi ya Halmashauri ni nani msimamizi kati ya Mkurugenzi na RC?
 
Aisee Makonda anavyokumbukwa kazi ipo, matusi yote yale aliyokuwa anatupiwa!, iko siku na CCM itaondoka madarakani usikie bora hata CCM ingekuwepo!!
Katumiwa huyo sii bure, ameacha meya wa jiji kaenda kwa mkuu wa mkoa,umaskini unatutesa
 
Ni hivi Mwanza kwa Sasa hapafai, anzia maeneo haya yaliyo katikati ya jiji, Nyerere road yote, kenyatta road, Mtaa wa rumumba, Sahara, Mbugani, Makoroboi, fire, pamba road, Msikiti wa ijumaa nk. huko kote uchafu umetapakaa

Walivunja soko kuu pamoja na stendi ya nyegezi,wakazungusha bati huu ni mwaka wa pili hakuna kinachoendelea, na kuonyesha walivyo wajinga, wakati wa uchaguzi mkuu wakaandika chagua Magufuli na chagua Mabula kwenye hizo bati walizozungushia.
 
Ni hivi Mwanza kwa Sasa hapafai, anzia maeneo haya yaliyo katikati ya jiji, Nyerere road yote, kenyatta road, Mtaa wa rumumba, Sahara, Mbugani, Makoroboi, fire, pamba road, Msikiti wa ijumaa nk. huko kote uchafu umetapakaa

Walivunja soko kuu pamoja na stendi ya nyegezi,wakazungusha bati huu ni mwaka wa pili hakuna kinachoendelea, na kuonyesha walivyo wajinga, wakati wa uchaguzi mkuu wakaandika chagua Magufuli na chagua Mabula kwenye hizo bati walizozungushia.
Wewe wala huishi Mwanza unaongozwa na mihemuko ya kisiasa. Tangu Disemba 2020 soko kuu na stand kuu ya mabus Nyegezi vinajengwa usiku na mchana na huna habari. Pole sana.
 
Aisee Makonda anavyokumbukwa kazi ipo, matusi yote yale aliyokuwa anatupiwa!, iko siku na CCM itaondoka madarakani usikie bora hata CCM ingekuwepo!!
moja ya vijana wenye haiba na kipaji cha uongozi basi tu
 
Wasukuma wasafi ni wachache sana... hawapendi mazingira, hawapendi miti.. hili kabila ni tabu
 
Sijajua kazi rasmi ya hawa wanaojiita mameya wa jiji Shameful
 
Back
Top Bottom