Mkuu wa Mkoa wa Mwanza RC Mtanda unamchonganisha Rais na mashabiki wa Simba kwa mambo ya hovyo kabisa, Omba radhi yaishe

Yule mkuu wa mkoa huenda ile haikua akili yake tumsamee cha msingi aombe simba ashinde
 
We fala usipende kunizoea kabisa, andika thread yako na wewe uone kama ntakuingilia, kocho we
Vilaza siku zote kinga yenu kubwa ndiyo hii ya kukimbilia kutukana. Kutwa ni kulialia tu humu jukwaani kama vitoto vichanga. Halafu jamii forums siyo ya baba yako. Kwa hiyo huna uwezo wa kunipangia kuchangia mjadala.
 
Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo
Mzuie mamlaka kutekeleza majukumu yake
Mkuu wa mkoa ni Rais katika eneo lote la Mkoa
Kuzuia kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake ni kukosa adabu Kwa mamlaka
makolo bila uchawi mambo hayaendi
 
Aisee, mnapolomoa matusi mazito mazito yaan, Ile Jf iliyo civilized inayeyuka Kama ice ya MLIMA KILIMANJARO.

#MAJI NI UHAI/ WATER IZ LIFE.
 
Na tumeshinda kumaamke! Kama ana nguvu sana basi afute matokeo
 
Acheni ujinga simba haiko juu ya sheria kama vipi hamieni Burundi maana kila kitu mnaona mnaonewa tu.
 
Yote haya chanzo chake ni yale manundu matatu ya nyuki wa tabora
 
Mtanda anashukuru Simba imeshinda, sasa hivi anafanya dua iondoke Mwanza
 
Mtanda kamficha dc mfiraji leo tena anarudia ujinga,huyu jamaa hafai itakuwa anapakuliwa
 
Yaani mpeleke nganda, ushirikina na fujo
Mzuie mamlaka kutekeleza majukumu yake
Mkuu wa mkoa ni Rais katika eneo lote la Mkoa
Kuzuia kuingia uwanjani ulio ndani ya mkoa wake ni kukosa adabu Kwa mamlaka
Nyie mabomba yenu mmeshayatoa kule chamazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…