Mkuu wa Mkoa wa Songwe Waziri Kindamba kuongoza maombi maalumu ya kumuombea Rais Samia na taifa

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Waziri Kindamba kuongoza maombi maalumu ya kumuombea Rais Samia na taifa

Huyu jamaa ni mpumbavu sana tena Chawa aliekomaa walikuwepo machawa wenzako kina Bia yetu kawe alumin na machawa wengine sugu sijui wamepotelewa wapi. Hizi porojo zako za kumsifia Samia kana kwamba anaongoza kama hisani wakati ni kazi yake na analipwa kwa kodi zetu unaboa sana wee jamaa
 
Huyu jamaa ni mpumbavu sana tena Chawa aliekomaa walikuwepo machawa wenzako kina Bia yetu kawe alumin na machawa wengine sugu sijui wamepotelewa wapi. Hizi porojo zako za kumsifia Samia kana kwamba anaongoza kama hisani wakati ni kazi yake na analipwa kwa kodi zetu unaboa sana wee jamaa
Wangapi wanalipwa na wanashindwa kutimiza wajibu wao? Kwanini Nishidwe kumpongeza mh Rais kwa kutimiza vyema majukumu yake ya Urais? Umewahi kukuuliza kwa Nini huwa Kuna tuzo mbalimbali zinazotolewa kwa watu waliofanya vizuri katika majukumu Yao Kama sehemu ya kutambua mchango wao? Unaumia Nini Rais wetu akipongezwa na kuombewa Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania?
 
Ndugu Zangu Watanzania,

Mkoa Wa Songwe unaoongozwa na mh Waziri Kindamba unafanya maombi maalumu ya kumuombea mh Rais wetu mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Taifa letu,Mkoa wa songwe kwa kutambua kazi kubwa na ya kutukuka iliyofanywa na mh mama Samia umeona umuhimu wa kumwomba Mwenyezi Mungu ili Amlinde Na kumpigania mh Rais wetu.

Taarifa hizo za kumfanyia maombi maalumu Rais wetu Zimewagusa Sana wananchi mtaani, wamefurahishwa na uamuzi na hatua hiyo, wameunga mkono na kumpongeza mkuu wa mkoa.

Wananchi wanasema hakika Rais wetu Anastahili kuombewa na kila mtanzania mzalendo,Anastahili kutiwa moyo na faraja kwa kazi kubwa na ya kizalendo anayoifanya,Anastahili kuombewa ulinzi wa Mwenyezi MUNGU kuwa naye wakati wote,Anastahili kuungwa mkono na kupewa ushirikiano.

Rais Samia Anaendelea kupenya na kukuta katika mioyo ya watanzania, Anaendelea Kuiteka Mioyo ya watanzania ambao wanaendelea kuhitaji utumishi wake na Kuendelea kutumikiwa Naye, wanahitaji kuwa naye kwa kuwa ameonyesha dhamira ya dhati na uzalendo wa kweli katika kuwatumikia, ameonyesha upendo na usikivu kwa watanzania, ameonyesha kuhitaji kujenga Taifa lililo moja na lenye maridhiano na mshikamano wa kitaifa.

Nami Lucas Mwashambwa Nawaombeni watanzania wenzangu Tuendelee kumwombea Rais wetu Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia, Tuendelee kumwomba Mwenyezi MUNGU Aendelee kumlimda, kumpigania na kumtetea Rais wetu katika majukumu yake ya Urais, Mwenyezi MUNGU Aendelee kusimama na Rais wetu popote Alipo.

Mwenyezi Mungu asiwape nafasi maadui wanaotaka kumkwamisha Rais wetu katika kututumikia watanzania.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Nonsense
 
Wangapi wanalipwa na wanashindwa kutimiza wajibu wao? Kwanini Nishidwe kumpongeza mh Rais kwa kutimiza vyema majukumu yake ya Urais? Umewahi kukuuliza kwa Nini huwa Kuna tuzo mbalimbali zinazotolewa kwa watu waliofanya vizuri katika majukumu Yao Kama sehemu ya kutambua mchango wao? Unaumia Nini Rais wetu akipongezwa na kuombewa Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania?
Tumwombee kwani tumemtuma au kumlazimisha kuwa rais punguza uchawa wee mtoto wa kiume utakuja kupakatwa asee

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Tumwombee kwani tumemtuma au kumlazimisha kuwa rais punguza uchawa wee mtoto wa kiume utakuja kupakatwa asee

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Lazima tumwombee maana Ni kiongozi wetu mwenye Baraka zetu na uungwaji mkono wetu,Tunpenda na kuridhishwa na utendaji kazi wake ndio maana tunaona umuhimu wa kufanya hivyo kwa kila mmoja na Imani yake, ili mwenyezi Mungu amjalie Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania
 
Back
Top Bottom