Maoni yangu knowing siasa za bongo,
(1). Ditopile, ni rafiki wa karibu wa Jk tena sana kuliko hata watu wanavyofikiri, toka JK apate habari hizi amekosa amani, he is a friend, je tunawakimbia marafiki wakiwa kwenye matatizo?
(2). Akizungumza na kina Mtandao, RA, EL, na the rest watamwambia muache afungwe, unajua hiii itakuharibia sana sifa zako na kazi yako! Na huyu bwana ni mjeuri siku zote huyu!, lakini EL atamvuta pembeni na kumwambia Jakaya, hebu muulize JM kwanza usiende kama mjinga bro!
(3). Ditopile, pamoja na kwamba ni mmoja wa maadui wakubwa wa JM wa bila sababu, atamwambia Jk, Jakaya huwa hatuwakimbiii marafiki wakiwa na shida, ndio maana hata mimi rafiki yangu Vernon Mwaanga, alipokamatwa na madawa ya kulevya kule Zambia nilienda kumuombea kwa Kaunda akamsamehe kifungo cha miaka 30, sasa itakuwa wewe?
Halafu kumbuka huyu Ditopile ni mwenzetu huyu, sasa kama you have to save him ni lazima iwe kabla ya uchaguzi au baada ya uchaguzi, unajua tutawapa upinzani hoja ya kutusumbua kwenye election, lakini lazima umuokoe,
(4). Jk itabidi aende huko Pwani kwanza kuonana na wazee na kuwaambia kuwa wazee mwenzetu ni lazima aende jela kidogo kwa hiyo mtanisamehe lakini nitamtoa baadaye, Mzee Dito atapigwa miaka kumi ya manslaughter, baada ya uchaguzi wa 2010, atatoka msamaha wa rais,
Hapa decision has to be made kati ya Jakaya Kikwete, Said Mwema, na Rashid Othman, with baraka toka kwa JM, that is all,
Mahakama ipi bongo itakayompa miaka 30? Jaji gani huyo asiyejitaka? Atapelekwa pale Morogoro ambako, tofauti ni kwamba huwezi tu kwenda nyumbani lakini all is good kama boarding school, tena ni njiani kwa hiyo ni guaranteed viognozi wakuu watakuwa wakimpitia kila wakati wakiwa wanaenda Dodoma, with in time atatoka hasa kwa hoja ya ugonjwa,
Lakini hatarudi tena kwenye siasa, ataingia upinzani maana yule jama ni jeuri sana!
Mtoto wa Mungai, haendi kokote ataachiwa tu very soon!
Haya ni maoni yangu knowing siasa ya bongo!