Mkuu wa nchi lazima awe mkali na aogopwe. Asipoogopwa kila kitu kitakwenda mrama. Hata hayati Julius Nyerere aliogopwa na alikuwa mkali

Mkuu wa nchi lazima awe mkali na aogopwe. Asipoogopwa kila kitu kitakwenda mrama. Hata hayati Julius Nyerere aliogopwa na alikuwa mkali

Kufokafoka zama zake zimepita mnaopenda kufokewa kila mara ni nyie wavivu msiopenda kazi miongozo na Sheria za kazi zipo na zinatosha kumwaazibu mfanyakazi anayekiuka misingi ya ajira hayo ya kufokeana Kama watoto wadogo yameshapitwa na wakati mwaache Rais afanye kazi kiuweredi zaidi
 
Mliaminishwa hivyo! Ni vigumu kuwabadilisha mind set zenu. Maana hakuna kipimo rasmi kinachoweza onyesha uwajibikaji wakati wa Jiwe kulinganisha na sasa, zaidi ni porojo tu. Mliongopewa na camera tu! Sasa hivi kila mtu ana haki ya kusema akiona kasoro. Lakini wakati ule haikuruhusiwa mpaka ukutane na Jiwe jukwaani ndiyo umueleze. Wakati mwingine alilazimika kujibu, kuwa kajisaidie nyumbani kwako! Yale ni matokeo ya kuchanganyikiwa kwa mtu anayetaka kusifia uongozi wake, sasa akaona kama ameponda. Kwanini asi punic?
Kifupi huduma ni vilevile.
This is my firsthand experience. Sijasimuliwa wala kuoneshwa na mtu.

I am a health care provider in one of zonal hospitals, and I happen to be here since 2012.

Ninachokiongea ninakijua vizuri. Huduma zilikuwa bora sana enzi za JPM than both JK and SH comparatively.

Na actually ni kwenye taasisi zote, siyo hapa tu. Shida umejawa chuki.
 
Pole sana umebakiza mambo machache kuthibitisha kuwa watumishi wa hiyo hospital ni wehu, mmojawapo ni wewe! Kumbe si issue ya vyeti feki tu, itabidi kufukuza hata wafanyakazi wehu kama nyie. Inaonyesha wewe ukiliwa tigo utawaambia wakwe zako, familia yako, ikiwezekana utajitokeza hadharani kulaani waliokutenda ukiweka na picha yako mbele, ukidai umegongwa kwa mbinde! Kumbe inapaswa kuwa siri yako. Kumbuka Si kila jambo la kujisifia. Ili tu umchafue mama, kumbe unajimaliza. Kuna mwenzio alinusurika ktk ajali ya basi, akasema naishukuru serikali ya Jiwe kwa kunusurika, Wewe unadhani yule alipona au ndiyo aligeuka kuwa chizi mwenzio.
I thought I were having a discourse with a rational fellow. Methinks I was wrong. Bye.
 
Mbona Magufuli hakuajiri wala kupandisha madaraja, ila huduma zilikuwa bora?
Style ya JPM ilikuwa kutengeneza police state kama North Korea. Mifumo ya namna hiyo in artificial na inakwama mbele ya safari. Binadamu kwa hulka zetu tunataka uhuru.
 
Fikra za kikoloni kabisa za kuzani ukiwa kiongozi wa watu Eti unataka kuogopwa na wale unaoongoza! [emoji848][emoji848]

Hata mzazi kwenye familia ni ukoloni na mapokeo ya kutaka kuogopwa ogopwa!

Hasara za kuogopwa ni nyingi sana kuliko faida za kuwa rafiki na kuheshimika .
 
Kuna tofauti ya kuheshimiwa na kuogopwa.

Heshima huwa kwa mdogo na mkubwa.

Wakuogopwa huwa ni Mungu pekee!

Binadamu tunabaki kuheshiana tu!
 
Eti unakuta mzazi anakuwa mnoko kwenye familia hadi akifika tu home kila mtu anaufyata!

Sasa maana yake nini?

Unakuta mzazi au dada au kaka wa familia anakuwa mnoko na mgwadu uso amekaza utasema kitu gani !

Unakuta uso umejikunjakunja kama limao!
 
Kwani mhuni ni nani? I am interested in its definition.
Kwani hukuwa unasikiliza kipindi chake kabla ya kufungiwa. Maana alitoa tafsiri ya MUHUNI/WAHUNI kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la saba alielewa. Tafuta masomo yake yatakusaidia sana kuwaelewa wahuni.

Wakati huo hata wale walioshimoni walitoka walikojificha.
 
Upo sahihi sana. mimi nampenda sana mama samia ktk utendaji wake ila la hili la nidhamu ya moyoni kwa watumishi wa umma mama aliangalie vizuri.

Kuchelewa kazini, kutokatoka hovyo kuzurula, kwenda kucheza kamali wakati wa kazi na vijiwe vya mpira vinashusha sana nidhamu ya kazi ktk secta zote.

Utakuta 80% ya watumishi wa umma wanastahili kufukuzwa kazi kila siku kwa utovu wa nidhamu.

utakuta wizara zote za serikali zina cheo kiitwacho ofisi supevisor maajabu yake ofisi supevisor hafuatilii watoro kazini, wacheza kamali, wafanyao ngono maofisini wala kuwabana wachelewaji.

Hwa maO.S, utakuta siku zote ni father X-mass tuu na hupenda kununua stationary tuu!matokeo yake katika wizara zote za serikali huwezi kumtuka mfanyakazi aitwae workaholic(yaani yule aketie kitini na kujituma kazini mpaka anaambiwa nenda nyumbani kinguvu}

mimi binafsi namuomba sana mama awe mkali sana na avae ndita muda wote maana tupo katika kipindi cha heated economy la sivyo wajanja watamuangusha kisawasawa..
Ngoja ale Embe bovu avimbewe
 
Kwani hukuwa unasikiliza kipindi chake kabla ya kufungiwa. Maana alitoa tafsiri ya MUHUNI/WAHUNI kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la saba alielewa. Tafuta masomo yake yatakusaidia sana kuwaelewa wahuni.

Wakati huo hata wale walioshimoni walitoka walikojificha.
Tuwekee hapa.
 
Mkuu wa nchi ambae ndio ndio custodian wa mali za taifa la watanzania kudai kuwa hawezi kufokea mtumishi wa umma ni kushangaza umma wa watanzania.

Kwamba watumishi wa umma wakiharibu atawabembeleza?

Nimekaa na wazee wengi waliofanya kazi na hayati Julius Nyerere wanasema wazi kuwa Mwalimu alikuwa mkali sana.

Ilitokea akikuita kwake Msasani au Ikulu ilikuwa lazima upate wasiwasi na woga mkuu.

Wengine aliwaita kuwapongeza lakini hawakuamini walichoitiwa wapo pia aliowafokea hadharani au hata kifichoni.

Kwamba mkuu wa nchi unafanya kazi kwa kuonea aibu wateule wako? Kwamba utakuwa unawabembeleza?

Mbona hii sio sawa? Mkuu wa kaya lazima uwe mkali ili nidhamu ipatikane kuanzia juu mpaka chini.

Hatusemi ufokee watu kama watoto wako. Bali uwe na maamuzi na maelekezo yenye kuonyesha kuwa kuna kiongozi mwenye mamlaka aisiyetaka mzaha na anataka watu wafanye kazi.

Mfano, tulitegemea umkaripie January Makamba maana mradi wa JNHP unaweweseka kama vile hauna manufaa kwa wanaCcM wenzake.
Kweli kabisa lazima uwe mkali mtu akiharibu unatuma vijana usiku wanamchukua na asipoeleweka anaishia kwenye viroba. Lazima wachache waumie ili nchi ifike , [emoji1]
 
Style ya JPM ilikuwa kutengeneza police state kama North Korea. Mifumo ya namna hiyo in artificial na inakwama mbele ya safari. Binadamu kwa hulka zetu tunataka uhuru.
Ndio nzuri, mwaka jana nilikua Pyoyang,, [emoji16],yaani nidhamu maofisini hadi mtaani ni kubwa sana
 
Ndio nzuri, mwaka jana nilikua Pyoyang,, [emoji16],yaani nidhamu maofisini hadi mtaani ni kubwa sana
Hebu huyo wa North Korea alogwe siku moja afungue mpaka na South Korea, atabaki na makombora yake tu, hata wanajeshi watamkimbia - reason - banadamu hataki kufugwa.
 
Mbona tunapandanisha mambo enzi ya Lyatonga na JPM ni zipi hizo? Kama umeamua kuchambua post ya juu basi endelea na mifano ya post ya juu. Ili tu mama aonekane siyo unampima na Mrema!
Bwashee, hivi unajua kuchambua hoja kweli wewe? Au huwa unachukua mifano ndiyo unaifanya kuwa hoja?!
 
Julius Nyerere alikua ni Dictator kama Jiwe lazima wafanane kitabia
 
Back
Top Bottom