Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wasimuue wamkamate tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasimuue wamkamate tu
Nani alikuaminisha ?Tuliaminishwa kuwa mahandaki yao yana outlets za kuwafikisha nchi jirani za kiarabu
Unafikiri wanaume wana tabia kama zenu wanawake ?Kwani hawa Hamas bado wapo Gaza hadi leo? Nikajua walishafika Lebanon na Yemen siku nyingi.
Mh,Hawa si ndio wale walipigika October 7 wakaomba msaada USA?show anayopelekewa mpalestina sio ya karne hii...pale zitabaki hadithii
View attachment 2808375
Lini wamesema hivyo ?Hamas kuomba maridhiano na Israel ya kusitisha mapigano ili mateka watolewe.
Vipi tena mkuu. Mbona jaziba zimekukaba hivi? Pole, mliambiwa mapema. Israel watata, mkabeza. Tulieni kama mlivyolianzisha mkashangalia na kucheka.Maridhiano ya nyoko...
Nchi gani ya Kiislam inayo pigana na Israel hapo Gaza ?Kama viongozi wa hamas wanauwawa kama kuku lazima Israel itakuwa inajua mateka wake wapo wapi.
Kwa sababu Israel inapigana na nchi zote kiislam kupitia gaza. na lazima hao mateka watakuwa wamefichwa kwenye nchi moja wapo wa nchi za kiislam. Na ndio maana Israel alisema hii vita haitaishia gaza tu.
Nahisi wamedanganywa na Iran na MisriKwani hawa Hamas bado wapo Gaza hadi leo? Nikajua walishafika Lebanon na Yemen siku nyingi.
Una uhakika na Hilo?Wengetokea wapi wakati Gaza ilizingirwa tangu tarehe 8?
Aliyetuaminisha, sio aliyeniaminisha.Nani alikuaminisha ?
😅😀😄😃😁Huyo wamkamate akiwa hai waanze kumkata kiungo kimoja baada ya jingine,
Tena wamsokomeze na jiti kwenye kinyeo 😡
Sasa mbona una hasira sana sheikh?Lini wamesema hivyo ?
Hasira gani ? Halafu nani sheikh ?Sasa mbona una hasira sana sheikh?
Sio sawa mkuu, akamatwe apewe haki yake kama ilivyo sheria ya vitaHuyo wamkamate akiwa hai waanze kumkata kiungo kimoja baada ya jingine,
Tena wamsokomeze na jiti kwenye kinyeo 😡
Kwamba wewe ni mpumbavuNi Aliyeniaminisha.
Wewe wasemaKwamba wewe ni mpumbavu
Hizi muvi hizi!Narudia tena, usianzishe ugomvi na Israel, hawa ni level nyingine.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
piga manyangau hayo, au unasemaje FaizaFoxyMkuu wa kitengo Cha kutengeneza Silaha, ikiwemo makombora Bwana Mahsein Abu Zina ameuawa na majeshi ya IDF mjini Gaza. Abu Zina ndiye kiongozi aliyekuwa akiaminiwa katika kutengeneza makombora na Silaha zingine.
Kwa Sasa kiongozi wa Hamas Gaza Yahya Sinwar amezingirwa na majeshi ya IDF na hii imepelekea Hamas kuomba maridhiano na Israel ya kusitisha mapigano ili mateka watolewe.