Mkuu wa Ujasusi wa Rwanda, Lt. Gen Kayumba Nyanwasa, asema Kagame ni chanzo cha matatizo yote Congo na maziwa makuu

Glad watching and listening to General Nyamwasa , thank you Gen. 🙏🙏🙏
 
Balozi wa india? Sema aliyewahi kuwa balozi wa rwanda nchini india na mkuu wa ujasusi rwanda
 
Umemaliza, yote. Inasemekana Rwanda inaelekea Bukavu.
 
Ye anasema anachofnya Kagame ni msukumo wa walio nyuma yake ambae ni wakubwa na mimi namuuliza kwanini akubali kutumika?
Mkuu hata asipotumika yeye somebody else will do it na sio hiyari, matatizo ya wakongo yatatatuliwa na wakongo. Mfano sasa hivi Tishekedi kualika watu kupigania nchini kwake kwa madai ya kuiondoa M23, haioni hatari ya kuondolewa yeye kabla ya hao waasi kama halioni hilo hafai kuiongoza 🇨🇩. Wale wanaotaka EAC yeye mwenyewe kawakataa anawataka hao waliokuwepo huko. Na kwa vile tatizo halisi haliongelewi watu wanafata upepo na mkumbo basi vita hii itadumu historia haidanganyi.
 
Huyo jamaa alitakiwa aende uhamishoni Ulaya au Marekani, hapo alipo sio salama kabisa kwani ameshakoswakoswa mara kadhaa.

Alichokisema ni kweli kabisa Kagame ndio mzizi wa fitina kwenye eneo lote la maziwa makuu na bila kumuondoa amani haitakuwepo kwenye eneo lote hili.
 
Snowden
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…